Pole mamii, ndo uanamke huo, ukijifungua tu baada ya miezi 3 hadi 6 utarudi katka hali yako ya kawaida, na ukishajufungua usikimbilie SH Amon kutafuta vipodizi utaliwa hela hadi utashangaa, chunusi zitaisha zenyewe taratibu, chamsingi uendelee kutumia vipozi vyako unavyotumia kila siku.
Kuhusu Body structure sijui utafanyaje manake uzazi unaweza kukupenda ndo ukanenepa zaidi na ndo kama mamamkwe ni mchaga ndo utalishwa hadi uwe kama pipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.