Mjinga wa ukweli ni mtu ambaye hana elimu, hospitali, barabara, makazi, ulinzi, nk. Kazi kuzunguka mitaani na malapa siku nzima kusubiri mapumbavu mijizee yenu iwaambie kawauweni mapadre, maaskofu, na walei na mnakwenda kweli. Nafikiri wote mmepagawa na majini dini tu haiwezi kuwapeleka mbali hivyo katika ujinga. Jiangalieni kabla hamjaleta miguu hapa kukashifu dini za wengine ambao mnatibiwa kwenye mahositali na kusomesha watoto wenu kwenye shule zao. Itafika siku watawatupa nje ya taasisi zao na hamtakuwa na pakwenda. Ninawatadharisha tu. Zingatieni utamaduni wetu wa kuheshimiana na kuheshimu dini za wengine. Sijasikia mkristo akiagiza wakristo wenzake wakawauwe mashehe, mamufti, sijui na makitu gani kwa kujificha au kwa kuonekana. Sijaona mkristu aliyetoka kuchoma msikiti wa waislamu. Siku zinakuja ambazo hata wakristo watachoka na hapatakalika kwani hata wakiwatimua tu kwenye mahoapitali yao tayari mtajikuta kwenye wakati mgumu sana. Jamani waislamu jiheshimuni ni hilo tu.