Imamu Kortini Kwa Uchochezi

Status
Not open for further replies.


Dar = India ? Wanapjiita wasomi hawa.
 
kama watu wengi wanasikiliza kumbe ni nzuri.sijawahi kuzisikia itabidi leo nikazitafute zilipo nizinunue kabla hazijawa bidhaa adimu.
 

USIWE NA WASIWASI MTUMIE KAMANDA KOVA EMAIL NA UMWAMBIE KILA KITU SASA HIVI JESHI LA POLISI LINAKOMESHA UCHOCHEZI WA AINA YOYOTE ILE

EMAIL YAKE HII HAPA

kova.suleiman@yahoo.com.
 

unajua nini maana ya kusoma? wewe umesoma mpaka wapi?, je elimu uliyosoma imekusaidia nini? weka CV yako tuone, kisha ndio ushawishi wengine kwenda kusoma mana post zako zenyewe zinaonekana kama zimeandikwa na mmoja wa wale 60% ya watahiniwa wa kidato cha nne 2012.
 


Tafuta glass ya juisi ushushie, Oooh! Samahani kumbe hutumii juisi unatumia ....... tafuta ushushie, kisha ukapumzike mana unahasira usije kupiga mtu mtandaoni.
 

Hapa tunaangalia uhalali wa sheria na si ukristo na uislam km kweli wamevunja sheria watahukumiwa km wahalifu na si km waislam mbona mnataka kuleta chuki za udini na sababu za kitoto mahakimu wangap waislam wamesha hukumu waumini wa dini nyingne..?? Sasa kila mtu akileta iyo hoja yko tutaishi km Watanzia au km wakristo na waislam..???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…