Hahahaha,now where did i put that calculator!xoxo denzihahahahahahah lolNgoja nkamwite Lizzy dahhMie ntamtafuta mtu mwenye chaki mfukoni (Good Guy)swali lolote la ma Engineer anajibu( Good Guy)Physics, Maths inapanda mpaka kule ( Good Guy)hahahahahah lol
Kwi kwi kwi kwi........!!!!!!hii Kali banaKuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Lizy nitamtambu kwa maneno ya shortcut,anapenda sn hizo aise!
Easy ntasimama katikati then nasema "free beers,free beers every one.."
the first to respond,you have got your Asprin!
Then i'd go to the door and scream "OMG JK is outside joining us today.."
'Viola' utampata Malaria bila wasi..lol
Then naangalia sehemu walipokaa wasichana naenda nawaambia "Hii hela nimeokota hapo ya nani?"
Mmoja hata kabla hajaiona utamsikia "leta hapa ya kwangu" mwingine atamsunta "wewe hela yako umeidondosha saa ngapi!" Umeshawapata Lizzy na Afrodenzi.lol
Muone eti hujamjua,alieshushuliwa,wakati ni wewe.hahaha teh teh!Unanisingizia bwana!!! Hahahahahha.... ila bado sijajua nani atakaemshushua mwenzie????
Unapata shida eeeh? sema ulivozoea banaUnanisingizia bwana!!!
Hahhhahha...poa!Inakuaje bana....Unapata shida eeeh? sema ulivozoea bana
Hahahahahha....jamani mbona ni ningejitolea kumtafuta mwenye mali???!Muone eti hujamjua,alieshushuliwa,wakati ni wewe.hahaha teh teh!
haipaki matopeHahhhahha...poa!Inakuaje bana....
baada ya kukushushua!lolHahahahahha....jamani mbona ni ningejitolea kumtafuta mwenye mali???!
hahahaha! Jana na leo mambo ya shule zetu zile. Lol.ataitika 'jana na leo...'
hahahahaha! Lol!Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
maralia sugu angechezea kichapo sana kutoka kwa wanaharakati
Mimi nikiona mtu ana kigugumizi nitajua ni bubu ataka kusema.
basi nishajua namna ya kukutambua ila sisemi.Hahahahah lol! utasubiri sana kama ndiyo hivyo lol!...Soma hii link hapo chini πhttps://www.jamiiforums.com/habari-...a-lako-unalotumia-jf-lina-maana-yoyote-4.html
basi nishajua namna ya kukutambua ila sisemi.