Unakuta mtu kakutenda vibaya na majigambo juu but bado unampenda unashauriwa mpaka na wachungaji umsahau pamoja na mabaya mengi alokutendea bado moyoni hatoki na kuona hutakuja kupata kama yeye au zaidi yake au hudhani kama utakuja kufurahi kama ukiishi bila yeye.
Jamani ni wote huwa inawatokea au nikujiendekeza tu.
Ndio maana kusahau kuliumbwa mtu utaumi sana pale mwanzo lakini baadae ukiamua kuachilia unasahau kabisa na unaweza kumpata mtu mwingine ukampenda tena kuliko yule lakini kutokuachilia kumbeba mtu moyoni kunasababisha hayo