Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wakuu kweli nimeamini Watz tulifanya makosa makubwa sana kumwingiza JK Ikulu. Kumbe alikuwa mtupu kiasi hiki hatukuja . Haki ya Mungu, walahi Mtume. Yaani alifaa tu kuimba taarabu na sio kuwa Raisi wa Nchi. Ni aibu kuongozwa na mtu kama huyu . Too poor to be a president of any fool's republic. Mola tuepushe na Rais mwingine kama huyu 2010. Tupe Doctor wa ukweli. Doc Slaa .