Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,871
- 6,475
Kama kawaida mwanaume ni kiumbe wa juu kiumbe mtiifu nami kwa kufaata utiifu wa bwana.
Nikaiga mienendo ya manabii Kama Ibrahim alikuwa na wake wawili, Suleyman ndyo kabisaa Jembe huyu wanawaje buku
Nami katika pita pita za mitandaoni , nikakutana na binti kamweka rafikiye status nikaomba namba ....nikazama Inbo., tembeza vocalz na vijistori stori kama shah rukh khan
Mtoto kwa picha tu ni kama Naomi Campbell kabisa kama siyo priyanka Chopra
Rusha Ndoano ikakubali I
Tukameet weekend tukaroll san,town spend mda mwingi sana ,
Enjoyment isiyo ya kawaida hapo alikuwa na uzuri wake ule ule wa pichani wig la bei na viwalo calvin klein🤣🤣
Sasa last weekend , kaja gheto na freely akijua mwanaume nshadata kwake.
Haki hawa watoto wa kike na make Up zao wanatupoteza sana
Akaosha make Up zake
Akatoa wig yake
Akawa ananiface mimi sasa
Yaani ilikuwa mwanaume kwa mwanaume tunazungumza
UPUUZI tu Dadeq
Nikaiga mienendo ya manabii Kama Ibrahim alikuwa na wake wawili, Suleyman ndyo kabisaa Jembe huyu wanawaje buku
Nami katika pita pita za mitandaoni , nikakutana na binti kamweka rafikiye status nikaomba namba ....nikazama Inbo., tembeza vocalz na vijistori stori kama shah rukh khan
Mtoto kwa picha tu ni kama Naomi Campbell kabisa kama siyo priyanka Chopra
Rusha Ndoano ikakubali I
Tukameet weekend tukaroll san,town spend mda mwingi sana ,
Enjoyment isiyo ya kawaida hapo alikuwa na uzuri wake ule ule wa pichani wig la bei na viwalo calvin klein🤣🤣
Sasa last weekend , kaja gheto na freely akijua mwanaume nshadata kwake.
Haki hawa watoto wa kike na make Up zao wanatupoteza sana
Akaosha make Up zake
Akatoa wig yake
Akawa ananiface mimi sasa
Yaani ilikuwa mwanaume kwa mwanaume tunazungumza
UPUUZI tu Dadeq