Ili upendwe fanya yafuatayo

Ili upendwe fanya yafuatayo

kamati

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
240
Reaction score
109
Hivi sasa vijana hatupendwi na wanawake ispokuwa vinapendwa tunavyomiliki mfano wanawake wa sasa humpenda mwanamme kwa sababu ya pesa/mali anayomiliki, kiwango cha elim, umaarufu alio nao eg platnum, sura kwa kiasi kidogo mno hivyo inapelekea uhuciano mwing kutokudum kwa sababu hivyo ni vitu vya kuisha mfano mwanamke kapenda mali ina maana mali ikiisha bint ni kuchapa laba mwendo mdundo, au kama umependewa kazi ikitokea ukafukuzwa je?

Na hiyo imepelekea mpaka vijana ciku hiz tunasema uongo kwa kuwadanganya kwa magari ya kuazima ili tuwapate hivyo baci ili kuepuka hilo inabid tufanye yafuatayo kwanza kabisa unapomtongoza bint jiweke katika hali ya kawaida ucitumie ushawish wa aina yeyote ambao utamfany akuone una maisha bora kujicifu umesoma kwenda na gar kwa mrembo kupiga expensive pamba hivyo inabid uwe smat ila ktk mavazi ya bei ya kawaida kama una nyumba kali au expensive car uciidhihirishe na wala ucijicifu una mali ndugu zangu tujitahid kumjenga mwanamke akupende ukiwa na hali ngum pasipo na ushawish
 
mtu yeyote akiwa na bidii ya kutafuta hawezi kuwa masikini kamwe. sasa wewe kaa kutwa nzima vijiweni uone kama utapendwa, maisha magumu magumu wakati unashinda kwenye pool fanya kazi kijana.
 
Mimi nimezaliwa kwenye family masikini ndio maana sitaki kwenda kwa maskini kwani ni kupanua wigo wa umaskini. Bora kwenda kwa mwenye nacho huenda akaniambukiza harufu ya kuufuta umaskini
hahahaha wanasemagama money is not sexually transmitted...hahahaha...nikajua wakishua ndo unatudiss kiaina tulotokea kwa family za ndivyo sivyo
 
hahahaha wanasemagama money is not sexually transmitted...hahahaha...nikajua wakishua ndo unatudiss kiaina tulotokea kwa family za ndivyo sivyo

Hahaha mie ni wa mule mule lakini nimeamua kuupinga umasikini kwa njia zote........kuzaliwa maskini hukupenda ila usipende uje ufe masikini. Omba Mungu pigana na upinge umasikini kwa nguvu zote
 
Ah! Jamaa anafundisha wadau jinsi ya ku wa approach wanawake! Mambo hayo hayana formula bwana! Unaweza kuwa maskini sana ukapendwa na mtoto wa tajiri au kinyume chake zali la mentali! Kwa mwanaume cha msingi ni kujiamini tu unaweza oa hata mtoto wa Obama Mzee!!! Hukusikia yule jamaa wa Kenya aliyetaka kumwoa mtoto wa Clington, Chelsea miaka michache iliyopita? Ndoa ya kweli hutawaliwa na upendo tu!!!
 
Man bado tu unahangaikia kupendwa?! Kupendwa nako majanga wangu...kupendwa kwa ulichonacho sio uf.ara, uf.ara unakuja pale unapopendwa kwa ulichonacho huku wewe ukizani unapendwa for real!
 
man ukitaka upendwe kama mtu asiye nakitu kabisa, utakufa unanung'unika. Ww fanyakazi make life pata yule unaye muota furahia maisha ufe uzikwe. BIG alisema 'money brings pubs*, pubs bring love.'
*sikumbuki kwa usahihi kama alitumia neno hili, ila alimaanasha wanawake.
 
Tusipopenda hela wanaume hawatatafuta kwa bidii ili umpate mwanamke unaemtaka lazima uwe na hela km huna hela hutapata mwanamke unamtaka ww
 
Hivi sasa vijana hatupendwi na wanawake ispokuwa vinapendwa tunavyomiliki mfano wanawake wa sasa humpenda mwanamme kwa sababu ya pesa/mali anayomiliki, kiwango cha elim, umaarufu alio nao eg platnum, sura kwa kiasi kidogo mno hivyo inapelekea uhuciano mwing kutokudum kwa sababu hivyo ni vitu vya kuisha mfano mwanamke kapenda mali ina maana mali ikiisha bint ni kuchapa laba mwendo mdundo, au kama umependewa kazi ikitokea ukafukuzwa je? Na hiyo imepelekea mpaka vijana ciku hiz tunasema uongo kwa kuwadanganya kwa magari ya kuazima ili tuwapate hivyo baci ili kuepuka hilo inabid tufanye yafuatayo kwanza kabisa unapomtongoza bint jiweke katika hali ya kawaida ucitumie ushawish wa aina yeyote ambao utamfany akuone una maisha bora kujicifu umesoma kwenda na gar kwa mrembo kupiga expensive pamba hivyo inabid uwe smat ila ktk mavazi ya bei ya kawaida kama una nyumba kali au expensive car uciidhihirishe na wala ucijicifu una mali ndugu zangu tujitahid kumjenga mwanamke akupende ukiwa na hali ngum pasipo na ushawish

Pole bwana! nafikiri yamekukuta, hebu jaribu kubadilika! sisi wenzako wa uswazi tuko poa tu, hatuna cha kutambishia...
 
Experience yako please!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mtoa mada ameandika vitu vya LOGIC ILA WATU WANAMKWEPA,YEYE ANAMAANISHA INGAWA UNA MKWANJA NA MAISHA MAZURI ILA USIJISHEBEDUE SANA KWA BINT,MJENGEE MAZINGIRA KUWA WEWE NI WA KAWAIDA TU ILI ASIWE NA MATUMAINI MAKUUBWA JUU YAKO,VERY SIMPO
 
If you were born poor it is not your fault, but if you die poor it is all your fault
 
Back
Top Bottom