Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,462
Mipango mbalimbali ya kimaendeleo huwa inakwama kutokana na ukosefu wa pesa.
Umaskini ni adhabu kubwa sana pia umaskini unadhalilisha mno.
Ni ngumu sana kutoboa kimaisha ukiwa maskini na hata kwenye kusoma huwezi kusoma kwa raha kutokana na umaskini.
Pesa hufuata pesa nyenzake ilipo.
Umaskini ni adhabu kubwa sana pia umaskini unadhalilisha mno.
Ni ngumu sana kutoboa kimaisha ukiwa maskini na hata kwenye kusoma huwezi kusoma kwa raha kutokana na umaskini.
Pesa hufuata pesa nyenzake ilipo.