Ileje waijia juu rcc ya mkoa wa mbeya.

Ileje waijia juu rcc ya mkoa wa mbeya.

BAPUPEGHE

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
220
Reaction score
38
Ndugu wanabodi.
Leo wanaileje wamekaa Kikao kizito Kiwira Motel Kupinga maamzi ya Kupeleka Makao Makuu Mkwajuni.

Wadau hao wamepinga vikari na kulaani Maamuzi ya RCC ya Mkoa. Kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Mbunge wa wilaya hiyo Mh: Kibona.

Wadau hao wamemwambia Mbunge huyo kuwa ni maamzi ya kitoto ambayo hayapaswi kuungwa mkono.
Mjumbe Mmoja akiongea kwenye Kikao hicho Ndg. Elius Ndabila amesema kuwa hapingi uanzishwaji wa Mkoa huo ila Kigezo cha kupeleka makao makuu Mkwajuni kutako fanya watu wateseke zaidi. Hata hivyo amepinga vikari mapendekezo ya Mbunge kuwa ni Maamzi ya serikali kupeleka Mkwajuni.

Amesema kuwa yangekuwa maamzi ya Serikali kupeleka makao makuu Mkwajuni basi haikuwa na haja ya kushirikisha wadau kwenye vikao vya Mwanzo.

Mbuba amesema kuwa hili suala tunamtuhumu Mh. Mlugo kupeleka makao makuu hayo. Amesema hatuwezi kufanya kazi ya Mlugo.

Wadau hao wamesema wataendelea kupambana Mpaka kieleweke.
 
Ndugu wanabodi.
Leo wanaileje wamekaa Kikao kizito Kiwira Motel Kupinga maamzi ya Kupeleka Makao Makuu Mkwajuni.

Wadau hao wamepinga vikari na kulaani Maamuzi ya RCC ya Mkoa. Kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Mbunge wa wilaya hiyo Mh: Kibona.

Wadau hao wamemwambia Mbunge huyo kuwa ni maamzi ya kitoto ambayo hayapaswi kuungwa mkono.
Mjumbe Mmoja akiongea kwenye Kikao hicho Ndg. Elius Ndabila amesema kuwa hapingi uanzishwaji wa Mkoa huo ila Kigezo cha kupeleka makao makuu Mkwajuni kutako fanya watu wateseke zaidi. Hata hivyo amepinga vikari mapendekezo ya Mbunge kuwa ni Maamzi ya serikali kupeleka Mkwajuni.

Amesema kuwa yangekuwa maamzi ya Serikali kupeleka makao makuu Mkwajuni basi haikuwa na haja ya kushirikisha wadau kwenye vikao vya Mwanzo.

Mbuba amesema kuwa hili suala tunamtuhumu Mh. Mlugo kupeleka makao makuu hayo. Amesema hatuwezi kufanya kazi ya Mlugo.

Wadau hao wamesema wataendelea kupambana Mpaka kieleweke.

Kama Mkwajuni hapafai, wao wanaona wapi panafaa?
 
wanaileje hongereni sana kwa kupinga maamuzi yaliyotolewa na watu wasomi wasiogeographia ya mbeya kawaida yangeku vwawa mbozi
 
Ndugu wanabodi.
Leo wanaileje wamekaa Kikao kizito Kiwira Motel Kupinga maamzi ya Kupeleka Makao Makuu Mkwajuni.

Wadau hao wamepinga vikari na kulaani Maamuzi ya RCC ya Mkoa. Kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Mbunge wa wilaya hiyo Mh: Kibona.

Wadau hao wamemwambia Mbunge huyo kuwa ni maamzi ya kitoto ambayo hayapaswi kuungwa mkono.
Mjumbe Mmoja akiongea kwenye Kikao hicho Ndg. Elius Ndabila amesema kuwa hapingi uanzishwaji wa Mkoa huo ila Kigezo cha kupeleka makao makuu Mkwajuni kutako fanya watu wateseke zaidi. Hata hivyo amepinga vikari mapendekezo ya Mbunge kuwa ni Maamzi ya serikali kupeleka Mkwajuni.

Amesema kuwa yangekuwa maamzi ya Serikali kupeleka makao makuu Mkwajuni basi haikuwa na haja ya kushirikisha wadau kwenye vikao vya Mwanzo.

Mbuba amesema kuwa hili suala tunamtuhumu Mh. Mlugo kupeleka makao makuu hayo. Amesema hatuwezi kufanya kazi ya Mlugo.

Wadau hao wamesema wataendelea kupambana Mpaka kieleweke.

Naunga mkono maamuzi ya hao wadau!..Hiyo rcc nafikiri ilifikia end of thinking capacity kwn hawajawasogezea wanaileje huduma bali wamepeleka mbali zaidi!..Kwa nn isiwe hata Vwawa Mbozi?
 
Ndugu wanabodi.
Leo wanaileje wamekaa Kikao kizito Kiwira Motel Kupinga maamzi ya Kupeleka Makao Makuu Mkwajuni.

Wadau hao wamepinga vikari na kulaani Maamuzi ya RCC ya Mkoa. Kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Mbunge wa wilaya hiyo Mh: Kibona.

Wadau hao wamemwambia Mbunge huyo kuwa ni maamzi ya kitoto ambayo hayapaswi kuungwa mkono.
Mjumbe Mmoja akiongea kwenye Kikao hicho Ndg. Elius Ndabila amesema kuwa hapingi uanzishwaji wa Mkoa huo ila Kigezo cha kupeleka makao makuu Mkwajuni kutako fanya watu wateseke zaidi. Hata hivyo amepinga vikari mapendekezo ya Mbunge kuwa ni Maamzi ya serikali kupeleka Mkwajuni.

Amesema kuwa yangekuwa maamzi ya Serikali kupeleka makao makuu Mkwajuni basi haikuwa na haja ya kushirikisha wadau kwenye vikao vya Mwanzo.

Mbuba amesema kuwa hili suala tunamtuhumu Mh. Mlugo kupeleka makao makuu hayo. Amesema hatuwezi kufanya kazi ya Mlugo.

Wadau hao wamesema wataendelea kupambana Mpaka kieleweke.


Mimi ni mdau kutoka Mbozi. Naomba mtu aliyeandaa mkutano wa WanaIleje aniPM hapa. Kuna jambo nataka kusema naye.
 
Makao makuu ya mkoa hakunaga issue zozote za kufuata huko. Sanasana ni ofisi ya hazina ndogo, Tanroad naviji ofisi kama Temesa vyote hivi mwananchi wa kawaida haimsaidii kitu. Serkali ndio itakayoumia yenyewe kwa kuwalipa posho watendaji wao kufuata huduma hizo mkoani. Ofisi za wilaya ndiko ambako wananchi wakawaida wanahusika mojakwamoja. Sisi hapa Chalambe tunaenda hadi Kibaha kupeleka taarifa na kulala huko tupate nights. Lakini inauma sana kwa mwananchi wa kawada aliyeko Mzumbe aende Mvomero, tena anapita wakuu wa wilaya 2 Morogoro mjini na vijijini anaenda Mvomero. Lakini hawaja lalamika. Mbona watu wa Mbeya mnapenda kulalamika sana. Huduma zote zinapatika wilayani kama ni mshahara benki zipo Mbeya Mjini mtapata bila ya kwenda Chunya. Wewe kama mwananchiwa kawaida utafuata nini makao makuu ya Mkoa. Matokeo ya mitihani yanatolewa kwenye mtandao. Angalia makao makuu ya mkoa wa Tanga. Yako biased. Kuwa na makao makuu Dodoma kutakusaidia nini.
 
Kabsa Vwawa ndo kila ki2, coz ni katkat ya huko koteee! wat z mkwajun au ksa Mlugo katoka huko?
 
Ndugu wanabodi.
Leo wanaileje wamekaa Kikao kizito Kiwira Motel Kupinga maamzi ya Kupeleka Makao Makuu Mkwajuni.

Wadau hao wamepinga vikari na kulaani Maamuzi ya RCC ya Mkoa. Kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Mbunge wa wilaya hiyo Mh: Kibona.

Wadau hao wamemwambia Mbunge huyo kuwa ni maamzi ya kitoto ambayo hayapaswi kuungwa mkono.
Mjumbe Mmoja akiongea kwenye Kikao hicho Ndg. Elius Ndabila amesema kuwa hapingi uanzishwaji wa Mkoa huo ila Kigezo cha kupeleka makao makuu Mkwajuni kutako fanya watu wateseke zaidi. Hata hivyo amepinga vikari mapendekezo ya Mbunge kuwa ni Maamzi ya serikali kupeleka Mkwajuni.

Amesema kuwa yangekuwa maamzi ya Serikali kupeleka makao makuu Mkwajuni basi haikuwa na haja ya kushirikisha wadau kwenye vikao vya Mwanzo.

Mbuba amesema kuwa hili suala tunamtuhumu Mh. Mlugo kupeleka makao makuu hayo. Amesema hatuwezi kufanya kazi ya Mlugo.

Wadau hao wamesema wataendelea kupambana Mpaka kieleweke.

Napendekeza uanzishwe mkoa wa Ileje!
 
ugawanyaji wa mkoa mbeya hauna tija kwa masilahi ya wananchi wakawaida labda wanasiasa wana maslahi nalo.
 
ugawanyaji wa mkoa mbeya hauna tija kwa masilahi ya wananchi wakawaida labda wanasiasa wana maslahi nalo.Cha muhimu ni kujenga barabara za uhakika kwa wananch wa Ileje na chunya.
 
Aliyetoa wazo la kuigawa Mbeya alifanya hivyo makusudi ili kuwagawa wanaMbeya
Hivi JK kama kweli anaona kuna umuhimu wa kugawa mikoa kwa nini hajawahi kutoa wazo la kuigawa Pwani, mkoa ambao hata haueleweki...
Bagamoyo, Mafia, Rufiji, Kibaha na Kisarawe zimetawanyika kiasi hakuna hata namna ya kuzifikia wilaya zote pasipo kupita Dar...

Mathalani mtu aliyepo Mafia imabidi aje Dar au Bagamoyo ili aifikie Kibaha ambayo ndio makao makuu ya mkoa.
 
Kweli ni UpUuuzi kupeleka makao makuu ya wilaya mpya Mkwajuni hivyo naunga na na watu hawa kuwa nisiasa chafu za kada Mulugo Kuhodhi nafasi hiyo,ili kujipatia kura 2015.
Makao makuu yanawe za kuwa Vwawa mbozi ama mlowo ama hata Mahenje mbozi! Kuwezesha watu wa chunya. Na ileje pia Momba kuwa jirani na huduma za kimikoa.
Wajumbe wa RCC walipeleka mawazo ya kikada kwa hili walichemka!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Makao makuu ya mkoa hakunaga issue zozote za kufuata huko. Sanasana ni ofisi ya hazina ndogo, Tanroad naviji ofisi kama Temesa vyote hivi mwananchi wa kawaida haimsaidii kitu. Serkali ndio itakayoumia yenyewe kwa kuwalipa posho watendaji wao kufuata huduma hizo mkoani. Ofisi za wilaya ndiko ambako wananchi wakawaida wanahusika mojakwamoja. Sisi hapa Chalambe tunaenda hadi Kibaha kupeleka taarifa na kulala huko tupate nights. Lakini inauma sana kwa mwananchi wa kawada aliyeko Mzumbe aende Mvomero, tena anapita wakuu wa wilaya 2 Morogoro mjini na vijijini anaenda Mvomero. Lakini hawaja lalamika. Mbona watu wa Mbeya mnapenda kulalamika sana. Huduma zote zinapatika wilayani kama ni mshahara benki zipo Mbeya Mjini mtapata bila ya kwenda Chunya. Wewe kama mwananchiwa kawaida utafuata nini makao makuu ya Mkoa. Matokeo ya mitihani yanatolewa kwenye mtandao. Angalia makao makuu ya mkoa wa Tanga. Yako biased. Kuwa na makao makuu Dodoma kutakusaidia nini.

ikiumia serikali si ameumia mwananchi? Utter non-sense!
 
Nyie watu wa mbeya acheni kulalamika kwa vitu visivyo na mantiki.,walioamua makao yawe chunya ni watu wenye akili timamu,wana sababu za msingi...hakuna asiyejua kuwa chunya ni wilaya iliyosahaulika sana,yawezekana ni njia ya kuwainua watu wa chunya...hoja ya umbali kutoka ileje ama mbozi ama momba si ya msingi...mbona kwa mfano wila ya mvomero kuna watu wanaishi eneo linaitwa mgeta,ili wafike makao makuu ya wilaya kule wami-sokoine wanalazimika kupita morogoro mjini,kwa hiyo acheni serikali ifanye kazi yake...
 
wanaosema eti kuugawa mkoa wa mbeya ni kuwagawa wanambeya...aah yan ni kichekesho,kwan mbeya ndo mkoa wa kwanza kugawanywa? unajua kuna watu wanadhan kuwa na limkoa likuuubwa ni ufahari...acheni mambo yenu bwana..tatizo ni kwamba hakuna kitu kinachoweza kuamuliwa kikakubaliwa na watu wote,never...na kuna watu wao asili yao ni ubishi tu,YAANI HATA YESU KRISTO AKIRUDI WAO WATASEMA HAPANA SIYO YESU..ndo walivyo..
 
Hakukuwa na haja hata ya kuanzisha mkoa mpya mby ni suala la kisiasa zaidi,na kutumia vya akina mulugo kufikiri,unataraji nini hapo?
 
wanaosema eti kuugawa mkoa wa mbeya ni kuwagawa wanambeya...aah yan ni kichekesho,kwan mbeya ndo mkoa wa kwanza kugawanywa? unajua kuna watu wanadhan kuwa na limkoa likuuubwa ni ufahari...acheni mambo yenu bwana..tatizo ni kwamba hakuna kitu kinachoweza kuamuliwa kikakubaliwa na watu wote,never...na kuna watu wao asili yao ni ubishi tu,YAANI HATA YESU KRISTO AKIRUDI WAO WATASEMA HAPANA SIYO YESU..ndo walivyo..

mimi nataka nikusihi kuliona hivi: Kule Tabora kuna wilaya moja inaitwa Uyui. Wilaya hiyo imepakana na wilaya karibu zote za mkoa huo. Kwa hiyo kuna watu wanapata shida sana kwenda pale kwenye makao makuu ya hiyo wilaya yenye ramani hovyo.

Kwamba watu wa Tabora walikubali hilo bila kupinga haina maana kuwa serikali ilitumia akili kuigawa Uyui kivile. Wewe ni mjinga sana kudhani kosa sehemu moja inahalilisha kosa sehemu nyingine.

Hebu itazame ramani hii hapa uone kama kuna busara mtu wa Ileje kuenda Chunya. Tumia akili yako mburula mkubwa wewe. Sasa nakwambie hivi. Chunya hatuendi! Mna kiburi cha Mabomu ya machozi na grenedi. Mtazimalizia Mbozi na Ileje!
Mkoa wa Songwe Logistics.JPG
 

Attachments

  • Mbeya Map 1.JPG
    Mbeya Map 1.JPG
    32.2 KB · Views: 49
Back
Top Bottom