Katibu mkuu TAMISEMI akionekana anaamaanisha, aliamuru hoteli iliyopo maeneo ya Msamvu Morogoro ivunjwe mara moja kwa kujengwa eneo la wazi. Je, Sagini amelisamamia hilo au anamsubiri Majaliwa?
Nimejitahidi kuwaelewesha kuwa kama wakivunja itabidi wanilipe kwa sababu nina vibali vyote vinavyoniruhusu kujenga, nimefurahi sababu wamenielewa hawataivunja tena. Wameniomba na samahani, nimewasamehe.
Nimejitahidi kuwaelewesha kuwa kama wakivunja itabidi wanilipe kwa sababu nina vibali vyote vinavyoniruhusu kujenga, nimefurahi sababu wamenielewa hawataivunja tena. Wameniomba na samahani, nimewasamehe.
Kwani maskini yule mpaka avunjiwe?nilichangia hapa ktk Uzi uliofutwa Kuwa kaombwa samahani.ukijua serikali zilianzishwaje utoshangaa hiki nilichokiandika
Kwani maskini yule mpaka avunjiwe?nilichangia hapa ktk Uzi uliofutwa Kuwa kaombwa samahani.ukijua serikali zilianzishwaje utoshangaa hiki nilichokiandika
Nimejitahidi kuwaelewesha kuwa kama wakivunja itabidi wanilipe kwa sababu nina vibali vyote vinavyoniruhusu kujenga, nimefurahi sababu wamenielewa hawataivunja tena. Wameniomba na samahani, nimewasamehe.