ha ha ha ha ha haBado dakika chache siku iishe watakuja wenzako muungane mliopigwa na vitu vizito kichwani
Me hapa nipo na uyu dada kaweka kandege kwenye yake nadhani hapendi usumbufu
Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app




Alisikika Team kataa ndoa🤣Polee sana
.
, anyway kijana sijui mzee wewe, acha kuyapa kipaumbele mapenzi haswa ya kudumu na mtu mmoja.
😁😂Alisikika Team kataa ndoa🤣