Ila kuachwa

Ila kuachwa

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,295
Reaction score
60,915
Ila kuachwa umri huu..

Na mbwembwe zote zile za kuandika na Uzi,. Ukiachana na kujimaliza WhatsApp statuses,. Ndugu na jamaa na marafiki,. Mliokua single nlikuwa nawaona hamna akili sawasawa,. Aaah Leejay mbwa Mimi kiko wapi sasa

Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo🤸🤸,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi

(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww

Anyway anaejua kurudisha Instagram Account bila access ya phone number anisaidie
 
Last edited:
Kumbe kosa ni lako ndo maana umeachwa mlongo, hapo pambana mwayaa.

Ingekua vinginevyo, ningekupasia mganga konkii, ex shem angekufata kukuomba msamaha huku akiwa anatambaa km mtoto wa miezi 9.

😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom