Ila haka kawimbo katamu jamani

Ila haka kawimbo katamu jamani

Wengine tupo busy na nyimbo za wahuni sijui wa wapi.
Naskia tu wimbo unaimbwa Nina hamu ya kutoooo.....
Nataka kukutooooo....
dah wasani wa Bongo bhana
 
Niko tu mi baby
Kama maji kwa mtungi
Nyonga buli baby
Nivute niiishi nibaki kishungi

Aii zuri baby
Nibandike nigande ka gundi
Maakuli nilishe nishibe
Kitumbo ndindi

Unanikoleza, unanichombeza
Unanilegeza ai wee
Ukianzaga ndani unayaweza kitandani
Kwenye meza tsunami, jeneza ni wee

Nakupenda, nakuwaza
Bora my oh, my boo boo
We nipende nikupende we

Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea

Kazoea vyote, kazoea mpaka kazoea
Kabobea kote, abobea mpaka kabobea tena
Nalowea kote, nalowea mpaka nalowea
Inakolea yote, nakolea tamu kukolea tena

Nipo katikati nazungukwa na upendo
Sa ninatokea wapi? Kaziba kote hajaacha pengo
Wanafikaga wapi? Peku bila sendoff
Mfike saa ngapi vyote tembea kwa wako mwendo

Nakupenda, nakuwaza
Bora my oh, my boo boo
We nipende nikupende we

Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea
[emoji847][emoji847]Haka kawimbo japo kuwa na uanaume wang nikikasikiaga mahali basi ntajipa hata kamshangao hili nikasikilize kenyewe japo nnako kweny kasimu na kapc. Nandy ameutendea haki sana binafsi hii inakuwa nyimbo ya pili ya nandy kuikubali baada ya WASIKUDANGANYE big ups sana kwake

By the way mtoa mada edit vizuri apo mwanzo anasema,
"Niko tuli babe kama maji kwa mtungi
Nyonga Puri......."

By the way Much love to you umeua sana mpk umeamua kuiletea thread inaonesha imekukosha[emoji847][emoji847][emoji120]
 
Back
Top Bottom