Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,439
- 14,757
CHAUMA inakuja juu sasa hivi na inakubalika kweri kweri! Kwanini usihamie huko?Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari. Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Hapana nitahamia kwa tunawakandamiza kama mambo yataendelea hivi manake wana hoja muhimu sana katika historia ya kupambania haki, usawa na utawala boraCHAUMA inakuja juu sasa hivi na inakubalika kweri kweri! Kwanini usihamie huko?
🤣🤣Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.
Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Imeandijwa"upandacho utavuna"Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.
Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
CCM imejenga vituo vya afya na mabarabara, sgr,daraja la busisi,maendeleo ya kutisha na kutekeleza ilani .Mnachukiwa kweli sio masihara
Ccm imejenga wapi? viwanja vya michezo tu vimewashinda, ni hospital gani imejengwa na Ccm, Sgr tunadaiwa watanzania wote wewe unaongelea mambo ya CCM hizo trilioni mia na ushee ccm mtazilipa?CCM imejenga vituo vya afya na mabarabara, sgr,daraja la busisi,maendeleo ya kutisha na kutekeleza ilani .
Labda mauaji ya kutisha hayo mmefanya kweliCCM imejenga vituo vya afya na mabarabara, sgr,daraja la busisi,maendeleo ya kutisha na kutekeleza ilani .
Kwan chawanists... Lucas mwashamba na choicevariable wanasemaj?Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.
Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Mtoto wa shule,wewe ndio unawatumbukiza kijani wenzio shimoni,je ni kwa kujua ama bila kujua?CHAUMA inakuja juu sasa hivi na inakubalika kweri kweri! Kwanini usihamie huko?
Huyo atasema wanaupiga mwingi na wasipewe mitano tena kamwe.mimi na Lucas Mwashambwa tumebubujikwa na machozi ya furaha
Msimu wa vimbunga huu.Umesombwa juu kwa juu.Samahani nipo nje ya Mjadala, nautafuta Uzi ulikuwa unasema mama abaki au aachie madaraka?
Mara ya mwisho kuangalia Kura za abaki ziliiuwa 9 na Kura za kuachia madaraka zilikuwa 249.
Ule Uzi sijauona tena au umefutwa?
NB.Hii mada kwenye ule Uzi kuna majibu 100%
Utekaji mmezidiashaKwani wewe unasemaje , mkuu 'Mbaga Jr'.
Si ueleze tu ukweli unaouona wewe kuhusu kupendwa kwa CCM?
Mwenzako kaona kama alivyo simulia, nawe tueleze unavyoona kivyako.
Ahahahahaha! Naona Lissu na Heche wanaipeleka Chadema peponi na No Reform, No Election Campaign! Ahahahahaha!!Mtoto wa shule,wewe ndio unawatumbukiza kijani wenzio shimoni,je ni kwa kujua ama bila kujua?
Tilalila atakuja kukanushaKadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.
Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
TATIZO KUBWA mwenyekiti wetu Dkt Samia. Sijui kimempata kitu gani. Yaani amekuwa na maamuzi yasiyolets umoja. Unajua mfano kumkamata Lisu mtu ambaye hana ushawishi au kuzozana na Gwajiboy ambaye alipaswa ajibiwe na IGP tu itoshe. Yaani inasikitisha sana. Siuoni mwisho mwema wa Dkt Samia kabisa na hakika watanzania tunampenda ila anaonesha chuki kwa vitu vidogo ambavyo yeye kama rais hakupaswa hata kuviongelea.Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.
Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Tendeni haki na muache kuona kama hii nchi ni mali yenu pekee yenu na kujiona nyie ndiyo watanzania pekee mnaostahili kuishi na kuogopwa kwa kujitengenezea kinga kwa njia za kunyima watu wengine uhuru na haki zao, wala hamtachukiwa sana...Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.
Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!