hivi inakuwaje siku umelala nyumbani kwako alafu asubuhi unaamka unajikuta upo kitandani kwa mhe.Rais alafu yeye anaoga bafuni wakati huo first lady bado hajaamka anamalizia usingizi pembeni yako..je utafanyaje wananchi wakuelewe?
Natamani niwe mchawi. Afu nimbebe MS nikamlaze kitandani kwa Mkwele hiyo morning. Mwenyewe akiwa bafuni anaoga akichekacheka na kuwaza mgomo wa madaktari.
hivi inakuwaje siku umelala nyumbani kwako alafu asubuhi unaamka unajikuta upo kitandani kwa mhe.Rais alafu yeye anaoga bafuni wakati huo first lady bado hajaamka anamalizia usingizi pembeni yako..je utafanyaje wananchi wakuelewe?