Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
DAH KWELI MASHINJI ANAKAZI
Mashinji hana kazi yeyote,tatizo mnapigana na nguvu msiyoiona.Haya hebu jiulizeni familia moja wanasheria 13,na mnategemea familia itawasupport,wamekwambia wala msihangaike nao mkutane Mahakamani.
Chama Cha Mauaji aka CCM miaka 55 ya uwepo wake duniani,miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika kila siku ni bora ya jana!Mlichoweza kufanikiwa ni Utekaji,Utesaji na Uuaji waraia wasio na hatia.