johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Watu waliolelewa na CCM direct hushiba itikadi ya Chama lakini wale waliolelewa na Wazazi Wao ndani ya CCM hurithi maono ya Wazazi Wao
Wengi wanamtazama Makonda kwa namna wanavyopenda kumtazama lakini nawahakikishia hata Nyerere aliwapenda Vijana aina ya Makonda na Kihongosi
Vijana wenye damu ya Chama
Mungu wa mbinguni awabariki 😀
Wengi wanamtazama Makonda kwa namna wanavyopenda kumtazama lakini nawahakikishia hata Nyerere aliwapenda Vijana aina ya Makonda na Kihongosi
Vijana wenye damu ya Chama
Mungu wa mbinguni awabariki 😀