Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Kaondoka Chris Lukosi - Mwenyekiti Chadema UK
Kaondoka Zitto - Naibu Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Dr Dr. Wilbroad Slaa - Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Said Arfi - Makamu Mwenyekiti Chadema
Kaondoka Prof Kitila Mkumbo
Kaondoka Mzee Wasira
Na wengine weeengi walioshika nafasi za juu ndani ya Chadema baada ya kustuka na kujitambua.
Sasa wewe mwenzangu usie na mbele wala nyuma bado unang'ang'ania tuu popooz kama vile una hisa huko?
Kama Mbowe aliweza kuwasaliti wote hapo juu ambao ndio waliokijenga chama, wewe ni nani akuone wa maana zaidi ya kukutumia?
Kijana mwenzangu shituka! Usikubali kufanywa ---- na wajanja wachache.
SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO NI LOWASSA, MBOWE NA VIBARAKA WAO.
TUMUUNGE MKONO MAGUFULI KUKOMESHA MAFISADI NA KULETA KUJENGA TANZANIA MPYA YA WOTE.
Hakuna watu wanaoitwa CCM au UKAWA , bali kuna watu wanaitwa WATANZANIA.
MAGUFULI ATAKUA RAIS WA TANZANIA KWA AJILI YETU NA KWA AJILI YA WOTE KWA MAENDELEO YA WATANZANIA
Kaondoka Zitto - Naibu Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Dr Dr. Wilbroad Slaa - Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Said Arfi - Makamu Mwenyekiti Chadema
Kaondoka Prof Kitila Mkumbo
Kaondoka Mzee Wasira
Na wengine weeengi walioshika nafasi za juu ndani ya Chadema baada ya kustuka na kujitambua.
Sasa wewe mwenzangu usie na mbele wala nyuma bado unang'ang'ania tuu popooz kama vile una hisa huko?
Kama Mbowe aliweza kuwasaliti wote hapo juu ambao ndio waliokijenga chama, wewe ni nani akuone wa maana zaidi ya kukutumia?
Kijana mwenzangu shituka! Usikubali kufanywa ---- na wajanja wachache.
SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO NI LOWASSA, MBOWE NA VIBARAKA WAO.
TUMUUNGE MKONO MAGUFULI KUKOMESHA MAFISADI NA KULETA KUJENGA TANZANIA MPYA YA WOTE.
Hakuna watu wanaoitwa CCM au UKAWA , bali kuna watu wanaitwa WATANZANIA.
MAGUFULI ATAKUA RAIS WA TANZANIA KWA AJILI YETU NA KWA AJILI YA WOTE KWA MAENDELEO YA WATANZANIA