mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Si lengo langu kudhihaki au kukejeli bali ni kuleta mjadala wa maana hapa.
Baada ya kuona watu hapa wanaulizia sana kuhusu VETA nikaona bora nitembelee website yao ambayo baada ya kusearch kwenye internet nimepata anuani yao kama hivi Vocational Education and Training Authority -- VETA --. Hii ni taasisi ya serikali inayolenga juu ya elimu kwa watanzania.
Nimeshitushwa sana na design nzima ya website yao. Na nadhubutu kusema kuwa inaonekana kama imekuwa designed na mtoto wa sekondari. To be honest my nephew who is in year 8 can design better website than that. Sijui ni kiasi gani VETA wametumia kumlipa aliyewatengenezea website hii lakini ni aibu mno, wameibiwa ile mbaya.
Kwanza ni kwa nini kuna script ya krismasi na mwaka mpya hadi hii leo? tena na wala sio clip ambayo wametengeneza wao wenyewe ila wamekopi kutoka kwenye internet. Tuko karibu ya kumaliza februari jamani!!
Halafu kuna suali zima la matumizi ya application waliotumia kudesign na maamuzi ya kutumia tables. Sehemu ya juu iko zaidi upande wa kulia na sehemu ya chini iko zaidi upande wa kushoto, sijui ni kwa nini wameshindwa ku-centre the whole website. Links zimetupwa tupwa tu na nyingi ukigonga hazina lolote.
Suali langu ni kwa nini VETA haioni hili? je hawana watu wa kuwatenegenezea website za uhakika? hii ni website ya serikali na inaonekana duniani kote, ni aibu na inaonyesha kuwa Tanzania hatuna watu wanaoweza kudesign website, jambo ambalo sio la kweli. Ni aibu zaidi ukizingatia zaidi malengo na madhumuni ya VETA, walihitajika kuonyesha mfano mzuri. Je kama pesa ni tatizo kwa nini hawawaliki wanafunzi wa field kwenda kuwafanyia kazi? Kuna watu tele humu wenye IT qualifications wanatafuta kazi za field, na watafurahi mno wakipewa nafasi kama hii.
Ushauri wa bure kwa VETA ni tafuteni wanafunzi wa field, waunde website team hapo ofisini penu na wa-redesign website yote. Naamini wapo vijana wenye uwezo wa kudesin website nzuri hapo Tanzania
Baada ya kuona watu hapa wanaulizia sana kuhusu VETA nikaona bora nitembelee website yao ambayo baada ya kusearch kwenye internet nimepata anuani yao kama hivi Vocational Education and Training Authority -- VETA --. Hii ni taasisi ya serikali inayolenga juu ya elimu kwa watanzania.
Nimeshitushwa sana na design nzima ya website yao. Na nadhubutu kusema kuwa inaonekana kama imekuwa designed na mtoto wa sekondari. To be honest my nephew who is in year 8 can design better website than that. Sijui ni kiasi gani VETA wametumia kumlipa aliyewatengenezea website hii lakini ni aibu mno, wameibiwa ile mbaya.
Kwanza ni kwa nini kuna script ya krismasi na mwaka mpya hadi hii leo? tena na wala sio clip ambayo wametengeneza wao wenyewe ila wamekopi kutoka kwenye internet. Tuko karibu ya kumaliza februari jamani!!
Halafu kuna suali zima la matumizi ya application waliotumia kudesign na maamuzi ya kutumia tables. Sehemu ya juu iko zaidi upande wa kulia na sehemu ya chini iko zaidi upande wa kushoto, sijui ni kwa nini wameshindwa ku-centre the whole website. Links zimetupwa tupwa tu na nyingi ukigonga hazina lolote.
Suali langu ni kwa nini VETA haioni hili? je hawana watu wa kuwatenegenezea website za uhakika? hii ni website ya serikali na inaonekana duniani kote, ni aibu na inaonyesha kuwa Tanzania hatuna watu wanaoweza kudesign website, jambo ambalo sio la kweli. Ni aibu zaidi ukizingatia zaidi malengo na madhumuni ya VETA, walihitajika kuonyesha mfano mzuri. Je kama pesa ni tatizo kwa nini hawawaliki wanafunzi wa field kwenda kuwafanyia kazi? Kuna watu tele humu wenye IT qualifications wanatafuta kazi za field, na watafurahi mno wakipewa nafasi kama hii.
Ushauri wa bure kwa VETA ni tafuteni wanafunzi wa field, waunde website team hapo ofisini penu na wa-redesign website yote. Naamini wapo vijana wenye uwezo wa kudesin website nzuri hapo Tanzania