Good idea...but nilivyo muelewa mleta Uzi, anamaanisha what/how if unajikuta wewe ndie living thing (Kiumbe hai) katika Ulimwengu huu....!!
Au utafanya nini ikiwa utajikuta peke yako katika Sayari ya Mwezi..!
[emoji1]NITAJIRIBU KUENDESHA BOMBADIA
Nje ya mada,hii imenikumbusha Kna ugonjwa ila nmesahau jina mtu una life lako kama kawaida,unafanya daily activities kama kawa, ikifika night unaenda kulala kama kawa.Nimewaza hili jambo kuwa kama ikitokea umebaki peke yako Duniani utafanyaje,yaani unaamka asubuhi mkeo na watoto huwaoni,majirani huwaoni unakuta milango yote iko wazi,unachanganyikiwa unaamua kwenda mitaani nako pia unakuta Maduka yako wazi ila hakuna hata mtu 1,unajaribu kuwapigia Simu ndugu na jamaa lakini simu haiendi ,unawasha TV labda unaweza kupata taarifs yoyote kuhusu kilichojiri lakini haiwaki,unaamua kwenda Polisi ukatoe taarifa nako unakuta milango iko wazi hakuna hata mtu 1,unazidi kuchanganyikiwa ila bado unajipa matumaini kuwa unaweza ukakutana na watu au mtu wa kuweza kujadiliana kuhusu hii hali iliyotokea ndipo unapata wazo uende Benk kuu ukijipa matumaini kwamba pale piga ua masaa 24 Askari hawakosekani pale lakini unafika unakuta milango iko wazi ila hakuna Askari yeyote walala hakuna dalili ya kuwepo mtu,hatua ya mwisho unaamua kwenda Kwenye Nyumba nyeupe pale Magogoni ukiwaza kuwa wale wazee wa kazi huwa hawakosekani piga iwe jua iwe mvua lakini unafika unakuta Geti liko wazi na pako kimya humuoni mtu yoyote.hatimaye umechoka huna lakufanya unajipa matumaini uende Ubungo pale utakuta wasafiri,lakini unafika unayakuta Mabasi yamepaki ila humuoni hata mtu1na unakata tamaa kuwa umebakia peke yako sasa hadi hapo sijui utafanyaje.
Mama kwa mapocho pocho hujambo.Nitaenda kwenye masupermarket nile vitu mpaka.
Nitawaza baadae baada ya kushiba.
Nilikuwa naitafuta hii coment.Naenda zangu msituni nakuwa tarzan
Me nitahamia magogoni Kula bata alafu nitaanza kujifunza kuendesha ndege za ATCL yani hapo mwendo wa bata tuNimewaza hili jambo kuwa kama ikitokea umebaki peke yako Duniani utafanyaje,yaani unaamka asubuhi mkeo na watoto huwaoni,majirani huwaoni unakuta milango yote iko wazi,unachanganyikiwa unaamua kwenda mitaani nako pia unakuta Maduka yako wazi ila hakuna hata mtu 1,unajaribu kuwapigia Simu ndugu na jamaa lakini simu haiendi ,unawasha TV labda unaweza kupata taarifs yoyote kuhusu kilichojiri lakini haiwaki,unaamua kwenda Polisi ukatoe taarifa nako unakuta milango iko wazi hakuna hata mtu 1,unazidi kuchanganyikiwa ila bado unajipa matumaini kuwa unaweza ukakutana na watu au mtu wa kuweza kujadiliana kuhusu hii hali iliyotokea ndipo unapata wazo uende Benk kuu ukijipa matumaini kwamba pale piga ua masaa 24 Askari hawakosekani pale lakini unafika unakuta milango iko wazi ila hakuna Askari yeyote walala hakuna dalili ya kuwepo mtu,hatua ya mwisho unaamua kwenda Kwenye Nyumba nyeupe pale Magogoni ukiwaza kuwa wale wazee wa kazi huwa hawakosekani piga iwe jua iwe mvua lakini unafika unakuta Geti liko wazi na pako kimya humuoni mtu yoyote.hatimaye umechoka huna lakufanya unajipa matumaini uende Ubungo pale utakuta wasafiri,lakini unafika unayakuta Mabasi yamepaki ila humuoni hata mtu1na unakata tamaa kuwa umebakia peke yako sasa hadi hapo sijui utafanyaje.
Napenda kula kupita maelezo, vitamezeka tuu.[emoji23][emoji23][emoji23]Nina wasiwasi haviwezi hata kumezeka
Unakuta nyumba yenu haipo!Narudi kullala
Ndoto iishe
Wanyama hawapoNtaanza kuishi na wanyama,ntampa mimba sokwe watoto watazaliwa wa kufanana na binadamu maisha yataendelea