halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,101
- 5,266
Kama tabia yako ni kulala uchi wa mnyama siyo wote tuko hivoUkifa usingizini imagine unakutwa na mtu wa kwanza ukiwa na hali gani?umejisitiri kiasi gani/
mkuu hivi kidudu kinatumika kwa jinsia gani vile?Nimekumbuka mbali sana.
Wewe ni mdada mwenye akili nyingi sana.
(Coment zako nyingi ni nzuri.
Ukifa hata kama umevaa nguo, wanaokuja wanakuvua na kukuvisha sanda)
Posti hii haina mantiki, ukifa unakuwa umeshaondoka umeacha mwili ambao hauna thamani.
Ni takataka ya kuifukia tu.
I Salute You Rubii.
Kumbe ndo kitu uliwazaKwa sababu ya baridi watu kama wa arusha wanalala na nguo na je wa Daresaalam!
Bangi noma tena ukivutia chooniPoleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
Na muda wa ku comment unautoa wp?Kwani ukifa Uchi.Uchi cha ajabu nini hiko kidudu chako??
Hivi wenzetu muda wakuwaza mambo kama haya mnautoaga wapi jamani
Ukifa we marehem bhana kwani hata ukiachwa barbarani upo uchi una hbari gani inawahusu walio hai aliyekufa Keisha kufa story endKwani ukifa Uchi.Uchi cha ajabu nini hiko kidudu chako??
Hivi wenzetu muda wakuwaza mambo kama haya mnautoaga wapi jamani
Naona unafikiria kuwa ukifa unabaki na hisia kama ulizo nazo. Ukifa umekufa. Uwe uchi, uwe umevaa suti kali si lolote si chochote. Usijisumbue kuwa utakufaje. Wengine hufia bafuni wakioga. Unataka kusema waoge wakiwa wamevaa bukta??Poleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
Wkt wa kutaka kufa ukiwa usingizini kwanza utapata ndoto ya kukuarifu kuwa unakufa.Cha kufanya amka uvae bukta ulale tena ili ufe ukiwa umejisitiriPoleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
Wengine hufia bafuni wakioga. Unataka kusema waoge wakiwa wamevaa bukta??
ukifa umekufa hata wakukute huna nguo tyr uumenda
Maisha yamekuwa magumu watu wanaishiwa ufahamuNAONA mkuu bange unayovuta ni ule msokoto mkubwa,,zamani kijiweni tulikuwa tunauita famtom,,, halafu kitu dry no mixer,si mchezo
Sasa kama unaogopa na kuwaza ukifa bila nguo itakuwaje,basi vaa tu bukta hata wkt wa kuoga ili uridhishe nafsi yakoHa ha ha a jamani inabidi na kuoga awe anaoga na nguo kuepuka aibu ya kuchunguliwa akifia bafuni
Bangi ya malawi, inachanganywa na kinyesi cha binadamu inaitwa "LIKWANGULE"NAONA mkuu bange unayovuta ni ule msokoto mkubwa,,zamani kijiweni tulikuwa tunauita famtom,,, halafu kitu dry no mixer,si mchezo