Du!...Mkuu Vladimirovich Putin, umetisha, kumbe umepiga Pathology?. Toka nimejiunga JF, leo ndio nimekutana na mtu wa Pathology, zamani enzi za Nyerere, tulikuwa na ma pathologist wawili tuu, mmoja ni Dr. Shaba alikuwa Muhimbili na mwingine ni Dr. Mkulila alikuwa Bugando. Inasemekana kwenye medical school ya enzi hizo, kabla ya mambo ya neurosurgery, pathology ndio lilikuwa somo gumu sana, jee ni kweli?, Au ugumu wa pathology, ni uoga tuu wa kucheza na zile cadavers?.
Au pathology yako ni somo tuu kwenye mtaala wa MD na sio kusoma pathology ili uwe pathologist?.
P