Ikithibitika kweli wanamhujumu Mwenyekiti ambaye ni Rais lazima watimuliwe ndani ya chama kwa maslahi ya nchi

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Naandika haya kama mwananchi wa kawaida (common citizen) wala si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Damage imeshatokea nini kifanyike ili kukinusuru chama na nchi, kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi za uchochezi na madai, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhainI au uhujumu uchumi.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kwa chama na serikali kuchukua hatua kama hizo, kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi waliwahi kuchukuliwa hatua hizo.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakukuwa na cha msalie mtume, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi yetu.
 
Naandika haya si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi bali kama mwananchi wa kawaida (common citizen) kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Ili kukinusuru chama na nchi kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi kama mhujumu uchumi, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo tangu enzi za kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi chama na serikali zilishawahi kuchukua hatua hizo ili kuinusuru nchi.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakuwa na msamaha, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.
Wakuwapa pole ni wahamiaji haramu, akina Waitara, sijui watakuwa wageni wa nani. Wenye chama wagombana ati.
 
Najaribu kuelewa kwa hawa Wazee kumlalamikia musiba na kuomba msaada baraza la Wazee na baraza la Wazee kupeleka juu zaidi wanaingiaje humu kwenye hayo makosa unayoyasema. Msiba si ndo anatakiwa ahojiwe kuthibitisha anayoyasema? Clip za sauti zinazosambaa si official hivyo si reliable.
 
Wanamuhujumu vipi mtujuze,maana hawajamzuia kutuletea maendeleo angalia madege,maflyover,SGR, chato inakwwenda izidi newyork kimaendeleo, uchumi unakua Kwa kasi, viwanda vimeongezeka,stirl George inajengwa,hospital kila wilaya,mabarabara.Hizo hujuma ni zipo sasa.
 
Mim nikiwa kama mwana Chadema hai nipo upande wa Musiba Majura.....

Hapa ndiyo napo mkubali Mwenyekiti wangu F.Mbowe namna anavyo cheza na miakili ya mi ccm, yaani ni kama vile Mbowe katengeneza virus wa Odd na kuwatumia kwenye mivichwa ya miccm angalieni namna inavyo poteana yenyewe kwa yenyewe....

Sisi tunakata mbuga
 
Aitishe vikao vya chama ndio atajua wale wazalendo wa mapambio wako kwenye sms tu!

Kuna mzee aliwahi kusema 'warumu nyi wandu'
Yaani, 'mashetani ni watu'.
 
Naandika haya si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi bali kama mwananchi wa kawaida (common citizen) kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Damage imeshatokea nini kifanyike, ili kukinusuru chama na nchi kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi kama mhujumu uchumi, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo tangu enzi za kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi chama na serikali zilishawahi kuchukua hatua hizo ili kuinusuru nchi.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakuwa na msamaha, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi.
Rekebisha tittle yako,andika watimuliwe ndani ya chama kwa maslahi ya chama na si kwa maslahi ya nchi!!!!
Hicho chama kivuruguke tu,nchi yetu bado inasimama!!!
 
Naandika haya si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi bali kama mwananchi wa kawaida (common citizen) kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Damage imeshatokea nini kifanyike, ili kukinusuru chama na nchi kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi kama mhujumu uchumi, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo tangu enzi za kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi chama na serikali zilishawahi kuchukua hatua hizo ili kuinusuru nchi.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakuwa na msamaha, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi.

Solution ya yote ni kuzitenganisha Kofia hizi Mbili raisi abakie kazi ya kujenga nchi kutimiza ilani ya chama,kazi ya kukijenga chama amwachie mwenyekiti ambae kazi yake itakuwa ni kumnadi raisi aliyeko madarakani Kwa wananchi jinsi anavotekeleza ilani.
 
Naandika haya si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi bali kama mwananchi wa kawaida (common citizen) kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Damage imeshatokea nini kifanyike, ili kukinusuru chama na nchi kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi kama mhujumu uchumi, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo tangu enzi za kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi chama na serikali zilishawahi kuchukua hatua hizo ili kuinusuru nchi.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakuwa na msamaha, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi.
Tafadhali ccm haina maslahi yoyote kwa nchi hii ina maslahi kwa genge lao la wezi na mafisadi ,ccm alioiasisi mwalimu Nyerere ndio ilikuwa na maslahi ya nchi ,hii ccm ya akina polepole ,kabudi ,na Bashiru haina maslahi kwa watanzania labda wana chato ambao hata wenyewe hawataki hata kuisikia ndugu .
 
Mim nikiwa kama mwana Chadema hai nipo upande wa Musiba Majura.....

Hapa ndiyo napo mkubali Mwenyekiti wangu F.Mbowe namna anavyo cheza na miakili ya mi ccm, yaani ni kama vile Mbowe katengeneza virus wa Odd na kuwatumia kwenye mivichwa ya miccm angalieni namna inavyo poteana yenyewe kwa yenyewe....

Sisi tunakata mbuga
Mimi sitabiriki,kwenye hili saga nafuata upepo utakapovuma!Cha msingi maximum damage kwa CCM itokee!!!
Weka petroli Musiba,upande wa makatibu wakuu watie mitungi ya methane kwa huu moto!

Results:Uncontrolled fire!!!!!!

Ccm is burning,ccm is burning ................................fire fire fire fire .....Poor on gas poor on gas!!!!

Hahaaa hako ka wimbo kitambo sana!
 
Wahamiaji haramu watakuwa na wakati mbaya jiwe likisambaratishwa maana awatakiwi mbinguni wala duniani kote ni wasaliti.
Chama chetu pendwa kiko katika changamoto ambayo haijawahi kutokea, wenye chama na sirikali wako katika makundi mawili yanayopingana.
Nadhani Sirikali ijipange kuachia chama cha wenyewe na Waunde chama chao kwa ajili ya kunusuru mustakbali mpana wa nchi kwa ajili ya uchaguzi 2020.
 
Chama chetu pendwa kiko katika changamoto ambayo haijawahi kutokea, wenye chama na sirikali wako katika makundi mawili yanayopingana.
Nadhani Sirikali ijipange kuachia chama cha wenyewe na Waunde chama chao kwa ajili ya kunusuru mustakbali mpana wa nchi kwa ajili ya uchaguzi 2020.

Nayaona ya KANU
 
Watawafukuza wangapi?
Maana kwa sasa kila mtanzania hana haja na ccm
Naandika haya si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi bali kama mwananchi wa kawaida (common citizen) kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Damage imeshatokea nini kifanyike, ili kukinusuru chama na nchi kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi kama mhujumu uchumi, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhaini.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo tangu enzi za kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi chama na serikali zilishawahi kuchukua hatua hizo ili kuinusuru nchi.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakuwa na msamaha, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi.
 
Mkuu ni kawaida ya mzoea kunyonga kamwe vya kuchinja haviwezi.
Wanamuhujumu vipi mtujuze,maana hawajamzuia kutuletea maendeleo angalia madege,maflyover,SGR, chato inakwwenda izidi newyork kimaendeleo, uchumi unakua Kwa kasi, viwanda vimeongezeka,stirl George inajengwa,hospital kila wilaya,mabarabara.Hizo hujuma ni zipo sasa.
 
Naandika haya si kama mwanachama wa Chama cha Mapinduzi bali kama mwananchi wa kawaida (common citizen) kwa kuzingatia kwamba CCM ni chama tawala.

Ukweli usio na ubishi wana CCM wamegawanyika hawajui wasimame upande upi wa Musiba au wa Makatibu wao wastaafu.

Kuna baadhi wanasema Makamba na Kinana wametenda kosa kubwa, la kumuhujumu Mkiti wao ambaye pia ni rais wa nchi, wanasema kumuhujumu Mkiti ni usaliti na kumuhujumu rais ni uhaini, wengi wa hawa wako upande wa Musiba.

Kundi lingine linasema Makatibu wao wastaafu wako sahihi, wao ndio wanaokijua chama zaidi ya Mkiti wao, kwa hiyo wanataka kukirudisha chama mikononi mwa wanachama hasa waliokipigania usiku na mchana. Wanaona kama Mkiti wao anakimilikisha chama kwa wageni na kuwasahau wenyeji.

lnawezekana kila upande una hoja lkn watu wanahoji taratibu walizotumia kuyaweka madai yao hadharani ni kama kukidhalilisha na kukigawa chama. Damage imeshatokea nini kifanyike, ili kukinusuru chama na nchi kiujumla lazima chama kikubali ku take risk.

Ikithibitika Musiba anasema uongo kwa lengo la kukigawa chama aadhibiwe kulingana na sheria za nchi kama mhujumu uchumi, na ikithibitika Makamba na Kinana kweli wana mpango wa kumhujumu Mkiti ambaye ni Rais wa nchi, wavuliwe uanachama au kufunguliwa mashitaka ya uhaini.

CCM ni chama kikongwe kimepitia misukosuko mingi, haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo tangu enzi za kina Kasanga Tumbo, Kambona, Abdul Jumbe, Maalimu Self, Kolimba, na wengine wengi chama na serikali zilishawahi kuchukua hatua hizo ili kuinusuru nchi.

Enzi za Mwenyekiti Nyerere lilipokuja suala la kuilinda nchi na chama hakuwa na msamaha, sote tunakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba alipotofautiana na msimamo wa chama.

Suluhu yeyote zaidi ya hayo ni kuacha mbegu izae matunda ya usaliti si tu ndani ya chama bali hata ndani ya serikali ukizingatia watu waliotenda makosa ni viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa ndani ya chama, serikalini na kwenye majeshi.
Ngoja ni kwambie watu wasioju ukweli nduo wanamuunga mkono makatibu wakuu lakini ukweli ni kwamba musiba yuko sahihi na hata wao wanaujua isipokuwa wanataka kuwadanganya wananchi.
 
Back
Top Bottom