MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Watanzania wenzangu, jana maaskofu wamemwambia raisi wa Jamhuri na Mwenyekiti wa wavua magamba kuwa awataje wanaohusika na madawa la sivyo atakua mwongo.
Kwa jinsi nnavyomfahamu huyu jamaa hatataja maana nna hakikika ni mwendelezo wa propaganda ya udini ambayo mpaka leo ameshindwa kuthibitisha. Na kama hatataja kwa mujibu wa watumishi hawa atakua MWONGO.
Je muongozo wa katiba unatuambiaje?
Kwa jinsi nnavyomfahamu huyu jamaa hatataja maana nna hakikika ni mwendelezo wa propaganda ya udini ambayo mpaka leo ameshindwa kuthibitisha. Na kama hatataja kwa mujibu wa watumishi hawa atakua MWONGO.
Je muongozo wa katiba unatuambiaje?