USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,908
- 22,691
Nasema ikibainika tu .
Kuna tuhumu zinaendelea kutrend mtaani kuwa mwenyekiti wa miaka mingi Freeman Mbowe kuwa anachukua pesa za ruzuku na baadae kuikopesha CHADEMA kwa riba kubwa ya zaidi ya %21 :
1. Mbowe sio taasisi ya kifedha na hajasajili taasisi ya kutoa mikopo ambapo ni kinyume na sheria za BOT za usajiki wa taasisi za kukopesha yaani (microfinance act)
2.Kiwango cha riba ambacho wandani wake wanakitaja (rejea madai ya mkurugenzi wa mipango na fedha mwigamba na sasa katibu mkuu mstaafu ,mzee sumaye na mwambe ) kuwa chama kinafilisiwa na riba kubwa ya mwenyekiti mbowe
3.Pesa inayokopwa ni pesa ya Serikali (Ruzuku) hivyo pesa ile sio ya mtu bali ni taasisi hivyo kuichukua na kuizungusha ili kupata faida ni kosa kisheria
4 . Matumizi mabaya ya madaraka na ofisi ,hapa mbowe lazima anaswe na hii inatokana na ushahidi ambao viongozi walikuwa pale juu wamekubali kuwa mbowe hufanya manunuzi fake na sio gharama halisi
HATUA
Tumemwandikia barua DPP na TAKUKURU kupitia madai haya ya muda mrefu ili haki ionekane imetendeka Mali na pesa za chadema ambazo kimsingi ni Mali za wananchi zisiendelee kuibwa na kufujwa
Tumewataka viongozi na wanachama wa chadema na walikuwa jikoni (kwenye masuala ya fedha ,mipango na manunuzi walete hard copies kwa pm ili kukusanya ushahidi wa kutosha
Hoja hii ni hoja ya kisheria zaidi hivyo Jumatatu tarehe 23/12/2019 tunafungua kesi Mahakamani kwa kushirikiana na TAKUKURU
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tuhumu zinaendelea kutrend mtaani kuwa mwenyekiti wa miaka mingi Freeman Mbowe kuwa anachukua pesa za ruzuku na baadae kuikopesha CHADEMA kwa riba kubwa ya zaidi ya %21 :
1. Mbowe sio taasisi ya kifedha na hajasajili taasisi ya kutoa mikopo ambapo ni kinyume na sheria za BOT za usajiki wa taasisi za kukopesha yaani (microfinance act)
2.Kiwango cha riba ambacho wandani wake wanakitaja (rejea madai ya mkurugenzi wa mipango na fedha mwigamba na sasa katibu mkuu mstaafu ,mzee sumaye na mwambe ) kuwa chama kinafilisiwa na riba kubwa ya mwenyekiti mbowe
3.Pesa inayokopwa ni pesa ya Serikali (Ruzuku) hivyo pesa ile sio ya mtu bali ni taasisi hivyo kuichukua na kuizungusha ili kupata faida ni kosa kisheria
4 . Matumizi mabaya ya madaraka na ofisi ,hapa mbowe lazima anaswe na hii inatokana na ushahidi ambao viongozi walikuwa pale juu wamekubali kuwa mbowe hufanya manunuzi fake na sio gharama halisi
HATUA
Tumemwandikia barua DPP na TAKUKURU kupitia madai haya ya muda mrefu ili haki ionekane imetendeka Mali na pesa za chadema ambazo kimsingi ni Mali za wananchi zisiendelee kuibwa na kufujwa
Tumewataka viongozi na wanachama wa chadema na walikuwa jikoni (kwenye masuala ya fedha ,mipango na manunuzi walete hard copies kwa pm ili kukusanya ushahidi wa kutosha
Hoja hii ni hoja ya kisheria zaidi hivyo Jumatatu tarehe 23/12/2019 tunafungua kesi Mahakamani kwa kushirikiana na TAKUKURU
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app