Ikatokea kombora la nyuklia linarushwa kuelekea Marekani

Tatizo kubwa liko kwenye Nucler na hapo ndo mataifa mengi ya NATO huwa yanasita, make wao wanaomba vita yao na Urusi ikipiganwa basi kusiwepo nu kutumia Nuclear kitu ambacho hakiwezekani.

Ila ukweli ni kwamba Vita yoyote ya Nuclear itamanisha mwisho wa Dunia, hakutakuwa na maisha baada ya hapo hilo linajulikana na lisha ongelewa sana kwamba vita ya Nuclear itakuwa ndo mwisho wa maisha.

Na mpaka waje wapigane basi ujue uvumilivu umefikia kikomo, make si bunge la Marekani wala Bunge la Urusi linalo weza kuidhinisha vita baina ya hayo mataifa mawili.
Inamaan nuclear hiyo itateketeza watu wote duniani pamoja na wao? Au wao watabaki namanisha hizo nchi mbili za nuclear
 
Quora ni patamu sana. Kila kinachotupiwa mule hutatamani kukiacha bila ya kukisoma.


Lugha ni tatizo wakuu
 
Inamaan nuclear hiyo itateketeza watu wote duniani pamoja na wao? Au wao watabaki namanisha hizo nchi mbili za nuclear

Hata kama patakua na watakaobaki duniani, ila watakua mazombie tu. Ikatokea uwenda wazimu umewaingia hizi nchi mbili halafu iwe ni kurushiana nyuklia kwenda mbele, hatasazwa mtu, fahamu hata washirika wao watajikua wanaachia silaha zao zikashambulie, yaani NATO/America na Mrusi, India na Pakistan watatumia hiyo fursa kuwekana sawa. Yule dogo wa Korea Kaskazini ataingiwa na kichaa na kuamua hayo maeneo ya Asia hayakaliki.

Israel na Iran pamoja na Waarabu wengine itakua ni kukumbushana majungu na kurushiana vijembe maana hamna tena kukingiwa kifua.

Afrika pamoja na kwamba hatuna lolote, lakini tutaburuzwa tu. Na ndio itakua mwanzo wa apocalypse, neno la Mungu linasema mahali werevu wa binadamu unaishia ndipo werevu wa Mungu unaanzia. Sasa hivi kila nchi ipo mbioni kujihami na teknolojia ya hali ya juu ya kivita tena yenye maafa makubwa.
 
kazi ipo
 

Attachments

  • 1455528853249.jpg
    1455528853249.jpg
    67.8 KB · Views: 51
Aisei kule bana kuna mengi ya kujifunza kuhusu hii dunia, haswa ukichangia katika kuuliza na kujibu panapostahiki. Jamaa huwa wanauliza maswali ya kizushi sana hadi raha.

Naipenda quorra.. Kuna maswali magumu hadi unajiuliza watu walikuwa wanafikiria nini kuuliza.

Lakini watu wanajibu.

Mi nipo upande wa business na finance zaidi. Mambo ya politics na vita hapana.
 
Marekani iko nyuma ya russia katika kutengeza makombora ama roketi,na hiyo ndo maana hata roketi za kwenda anga za juu inabidi amtegemee mrusi,marekani waliwekeza sana kwenye ndege za kivita wakasahau makombora
 
Nimepitia tovuti yao na kusoma kuhusu hiyo "David sling", aisei iko sawa sana, ilifaulu majaribio ya hali ya juu. Ikiwemo dhidi ya "Scud B-class ballistic missiles".
Sasa hivi wapo mbioni kutengeneza itakayokua na uwezo wa kukinga dhidi ya cruise missiles.
Pia kuna nyingine inaitwa Iron beam IPO under devlopment
 
Ha

Half his kitu inanishangazaga sana kwanini US hawekez sana kwenye air defence system licha ya kuongezeka kwa threats km Iran,n.Korea,China na russia
daah mkuu wamewekeza sana katika air defense,cjui kam unazipata hizi air defense...patriot,MEADS,AEGIS(hii iko sea based yaan kwenye warships zilizopo sehemu mbalimbali duniani pia ipo land based) na ya mwisho wana THAAD iko effective kwenye kuintercepts ICBMs zenye kucarry nuclear warheads zikiwa kwenye their terminal phase hiz zinatosha kurepel initial nuclear attack na kuwapa muda wa kurespond with their nuclear attack kwa huyo aliye wa attack
 
siraha za mrusi uwa azitaji majaribio mia moj kam wanavyofany Usa na washilika wake,waulize isis kuhusu su-35 kam imeenda tofauti na matalagio
sa su-35 ndo imefanyaje wewe..kuna mzigo unaitwa F-22 hebu katafute habari zake(hii haiuzwi lakini)
 
Nimepitia tovuti yao na kusoma kuhusu hiyo "David sling", aisei iko sawa sana, ilifaulu majaribio ya hali ya juu. Ikiwemo dhidi ya "Scud B-class ballistic missiles".
Sasa hivi wapo mbioni kutengeneza itakayokua na uwezo wa kukinga dhidi ya cruise missiles.
mkuu hao wazee wa david sling wana mzigo mwngne unaitwa Arrow 3 uko vizuri sana hata NATO wanataka kuintergrate kwenye defence network yao
 
Hii thread tamu sana, these are very interesting issues, bring up more of these tupate kuelewa dunia ya kwanza ipo vipi
 
Mwache ajidanganye tu na propadanda za RT....Muulize tu kwa mfano izo s-400/500 za kirusi,zimewahi kuwa tasted kweny vita gani zikaonekana effective kama wengi weni humu mnaviisifia?....Silaha yyte bila kujaribiwa vitan ikaonekana effective kwa ku tackle challengea,huwez ukaswma ipo vizur zaid ya nyingnee....kwa mfano mdogo tuu 'iron dome' ya israel ilifanya kaz vizur sana wakat wa vita ya hamas...Finaly ikawa kinara kweny uuzwaji nje na ikashika no 1 kwe uuzaji mwaka 2014/15.....
Em jiulize tuu..kama silaha za marekani ni hafifu kama wengi mnavosema humu..ni kwa nni nchi nying zeny uwez huwa wanapendelia kununua silaha za marekani na sio za urusi jalo ni cost ndogo kulinganinsh na za usa?....
Mfano F-15/16 ndeg za marekan,karibia kila nchi ulaya zimenunua izi ndege why?...kwa nini wasinunue izo MIG na Su za russia?...
Kuna kitu cha kujifunza hapa...
Silaha bila kifanyiwa test vitani bado sana..
RT ile ni state media lazima ivutie sn kwa urusi ila hio S-400/500 hazijawah kuwa tested katika combat,pia wanadai znaweza detect any stealth aircraft lakini kiu kweli walidesign kwa stealth aircraft ya marekani ya zamani ile F-117 ambayo walishaachana nayo muda sana sema tu warusi hawaishigi majigambo..mfano kuna bomber moja inaitwa B-2 SPIRIT hii bwana ni stealth ambayo imetumiwa mara nyingi tu na marekani kwenye mission ambazo nchi zao zilikuwa na air defence nzuri,bado sina uhakika na uthabiti wa S-400 kwa ndege kama F-22 na B2
 
Back
Top Bottom