mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,189
- 8,397
Hamna mchezaji pale, yule ni mfukuza upepo🚮🚮Jonathan ikangalombo sio mchezaji wa soka Bali ni tapeli uliyeamua kujipatia kipato kupitia mchezo wa soka.Hivyo natoa wito kwa Eng.Hersi kumkamata huyu tapeli nakumfukuza mara moja..!!
Daima mbele , nyuma mwiko
Ha ha Umesahau maneno ya Kamwe akimsifia huyo jamaa?Jonathan ikangalombo sio mchezaji wa soka Bali ni tapeli uliyeamua kujipatia kipato kupitia mchezo wa soka.Hivyo natoa wito kwa Eng.Hersi kumkamata huyu tapeli nakumfukuza mara moja..!!
Daima mbele , nyuma mwiko
Wote wafukuzwe wakatafute timu huko.Vipi kuhusu pikipiki TVS lakuitwa chadrack BOKA