Ijue thamani ya uliyenaye

Prince Naahjum Alsina

Senior Member
Jun 13, 2016
136
124
57adea0cc096c6d0d9e48535fe461dc0.jpg


Hitaji la asili la kila mwanaume ni kuwa na busara, hekima, utashi, akili na uelewa. Haihitaji kuwa na shahada ya uzamili, au uzamivu ili kuwa na hivyo vitu. Ni uamuzi tu kutoka ndani ya kilindi cha moyo wako.

Ndoa na mahusiano mengi yanavunjika kwa vile wanawake wameolewa au wana date na wavulana na sio wanaume, na kuna tofauti kubwa kati ya 'mvulana' na 'mwanaume' sababu ambazo nimekwisha ziainisha huko nyuma.

Wewe kama mwanamke umeumizwa sana na mapenzi basi omba Mungu akupe mwanaume mwenye busara, utashi na hekima. Kilio na maumivu ya kihisia hayawezi kuwa sehemu ya maisha yako.

Na wewe kama mwanaume omba sana kwa Mungu akujalie hekima zaidi, utashi, akili na maarifa. Nina uhakika hata wanawake ambao wanajifanya ni matapeli wa mapenzi hawataweza kukukaribia.

Maana utakuwa sript writter na director mwenyewe na hivyo rahisi kimgundua kuwa huyo ni msanii na kumpeleka fasta akajiunge na Ray Kigosi akaonyeshe usanii wake huko.

"An intelligent man will open your mind, a handsome man will open your eyes but a gentleman will open your heart and keep it"

Nimezungumza vyema?
 
"An intelligent man will open your mind, a handsome man will open your eyes but a gentleman will open your heart and keep it"

May I have your attention please!...If you're the real gentleman please stand up..
 
Back
Top Bottom