Ijue historia ya eneo la Kisutu Dar—1

Anadai palikuwa na msikiti ukavunjwa ili kupisha ujenzi wa kanisa wakati mapori yalikuwepo kibao enzi hizo! Ukakasi mtupu Mkuu! And by the way kwanini wvunje msikiti kwa ajili ya kanisa na sio jengo au majengo mengine?
Huyu Ana agenda yake mwenyewe ila si mwanahistoria
 
Anadai palikuwa na msikiti ukavunjwa ili kupisha ujenzi wa kanisa wakati mapori yalikuwepo kibao enzi hizo! Ukakasi mtupu Mkuu! And by the way kwanini wvunje msikiti kwa ajili ya kanisa na sio jengo au majengo mengine?
Yote yalikuwa ni mipango ya wakoloni Ottoman wakileta dini ya Islam na European wakileta Christianity kama angekuja Mchina kabla yao leo tungekuwa Temple tunasali..
 
Anadai palikuwa na msikiti ukavunjwa ili kupisha ujenzi wa kanisa wakati mapori yalikuwepo kibao enzi hizo! Ukakasi mtupu Mkuu! And by the way kwanini wvunje msikiti kwa ajili ya kanisa na sio jengo au majengo mengine?
Utajengaje kanisa porini wakati hakuna wasalaji.
 
Hii no historia ya kisutu au Upanga,eneo lote unaloongelea ni Upanga .
 
historia yako imejaa upotoshaji, siku zote misikiti au makanisa yanajengwa kwa kuangalia idadi ya waumini lakini unakuja na uongo wa kuwapo misiskiti 40 unataka kutuambia waumini walikuwa ni wangapi?

Ikulu, Ocean road na hata hayo makanisa yalijengwa na Wajerumani, majengo ya waarabu yanajulikana nenda Kilwa na Bagamoyo ukaone magofu yake
 
historia yako imejaa upotoshaji, siku zote misikiti au makanisa yanajengwa kwa kuangalia idadi ya waumini lakini unakuja na uongo wa kuwapo misiskiti 40 unataka kutuambia waumini walikuwa ni wangapi?
Ikulu, Ocean road na hata hayo makanisa yalijengwa na Wajerumani, majengo ya waarabu yanajulikana nenda Kilwa na Bagamoyo ukaone magofu yake
Nimeshangaa alipodai mwarabu kajenga ikulu ya magogoni
 
Mbaya zaidi nimi nimekuja Tanzania hata hujazaliwa so kisa kuzaliwa Dar ndiyo utudanganye
kuja Tanzania kitu kingine kujua historia ya mzizima kitu kingine tatizo lenu mnajua kila kitu nyie. sina neno juu ya ilo maana ni malezi na tamaduni zenu ushauri wngu naomba mpitia life style ya Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete na Alhaj Ally Hassan Mwinyi hlf angalia na Baba wa taifa Julias Nyerere Mzee wetu kaka wa taifa Benjamin William Mkapa Na Ngoma ngumu Mh Dk John Pombe Magufuli labda unaweza kuelewa kidogo nina maanisha nn.
 
kuja Tanzania kitu kingine kujua historia ya mzizima kitu kingine tatizo lenu mnajua kila kitu nyie. sina neno juu ya ilo maana ni malezi na tamaduni zenu ushauri wngu naomba mpitia life style ya Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete na Alhaj Ally Hassan Mwinyi hlf angalia na Baba wa taifa Julias Nyerere Mzee wetu kaka wa taifa Benjamin William Mkapa Na Ngoma ngumu Mh Dk John Pombe Magufuli labda unaweza kuelewa kidogo nina maanisha nn..
Acha kudanganya watu usijifanye shuleni ulienda pekee yako kusoma sawa kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom