Kingdom123
Member
- Aug 13, 2020
- 25
- 49
Ili kukabiliana na changamoto moja kubwa iliyosahaulika ya ujinga juu ya matumizi ya computer kwa vijana wengi wa Kitanzania, napendekeza angalau kuwe na shule moja tu kila kata itakayowekwa computer hata 100 ambapo itawekwa ratiba ya ushirikiano kwa shule zote ndani ya kata wanafunzi kwenda kufundishwa katika shule hiyo.
Yaani shule hiyo itahudumia shule zote kwa ratiba maalum. Naona hii ni bora kupunguza gharama za kuwezesha kila shule kuwa na darasa lake.
Wizara ya Elimu na Serikali iliangalie hili. Angalau watoto watoke na ujuzi wa computer katika kipindi hiki cha teknologia.
Yaani shule hiyo itahudumia shule zote kwa ratiba maalum. Naona hii ni bora kupunguza gharama za kuwezesha kila shule kuwa na darasa lake.
Wizara ya Elimu na Serikali iliangalie hili. Angalau watoto watoke na ujuzi wa computer katika kipindi hiki cha teknologia.

