GE2025 Iitishwe Debate/Mdahalo wa Wagombea Urais pengine tunaweza mpata mwenye sifa za Urais

GE2025 Iitishwe Debate/Mdahalo wa Wagombea Urais pengine tunaweza mpata mwenye sifa za Urais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Mtu wa mwisho kuhusika katika mdahalo alikuwa Ben Mkapa. Miaka hiyo CCM inatoa wagombea wenye akili, uelewa na kujiamini. Baada ya hapo. Daaaaaah....

Urais umekuwa Urahis tu. Nashauri wakutanishwe hawa wagombea wafanye debate. Na hiki kipengele kilipaswa kuwekwa lazima iwe angalau midahalo 2 au 3 kabla ya kupigiwa kura siku ya mwisho.

But pia Samia anaweza fanya Mdahalo na Polepole waondoe tofauti zao na kusiwe na nia ya kumdhuru Polepole.
 
Mtu wa mwisho kuhusika katika mdahalo alikuwa Ben Mkapa. Miaka hiyo CCM inatoa wagombea wenye akili, uelewa na kujiamini. Baada ya hapo. Daaaaaah....

Urais umekuwa Urahis tu. Nashauri wakutanishwe hawa wagombea wafanye debate. Na hiki kipengele kilipaswa kuwekwa lazima iwe angalau midahalo 2 au 3 kabla ya kupigiwa kura siku ya mwisho.

But pia Samia anaweza fanya Mdahalo na Polepole waondoe tofauti zao na kusiwe na nia ya kumdhuru Polepole.
Hawezi kuthubutu.
 
wakiletwa wote wanaweza mda wote kuiongelea chadema tu
 
Mtu wa mwisho kuhusika katika mdahalo alikuwa Ben Mkapa. Miaka hiyo CCM inatoa wagombea wenye akili, uelewa na kujiamini. Baada ya hapo. Daaaaaah....

Urais umekuwa Urahis tu. Nashauri wakutanishwe hawa wagombea wafanye debate. Na hiki kipengele kilipaswa kuwekwa lazima iwe angalau midahalo 2 au 3 kabla ya kupigiwa kura siku ya mwisho.

But pia Samia anaweza fanya Mdahalo na Polepole waondoe tofauti zao na kusiwe na nia ya kumdhuru Polepole.
Maisha yako haitowezekana, wanajua vile publick speaking ni ugonjwa kwao
 
Back
Top Bottom