Wana JF,
Honestly the most worse Department in the Government sector in Tz ni Police Department imeoza kupita maelezo kabisa. Police imekuwa ndio gumzo hapa nchini ufani wa kazi zao ni zero kabisa, Na hili ni Chanzo cha Top Level ya Department hii kuburuzwa na viongozi wa Si ha sa police wakubwa kukubali kuwa vibaraka wa viongozi wa si ha sa ndiko kutaligawa taifa siku zijazo