lamaana ni kwamba marufuku uchafu unao itwa mahakama ya kadhi katika nchi yetu
Huyu IGP mangu ana kazi kubwa ya kurudisha uhusiano uwe Ktk hali nzuri Kati ya polisi na raia, raia wanachukua kubwa sana kwa polisi maana baadhi ya askari wamekuwa wakinyanyasa na kuwaambia raia kesi....kwa hali hii hata polisi akikutwa na tatizo na anatakiwa kupewa msaada raia/wanachukua hawatompa
Hata Kikwete mwenyewe alishakiri polisi kutumiwa na CCMSuala la polis
kutumika na chama tawala liko wazi, huhitaji kuwa na digrii kulitambua
hilo. Mango alikuwa anajifurahisha tu!