Wale mkuu nadhani ni kikundi fulani cha wasani wakiwemo CHECHE, JOAN MATOVOLWA, BANANA na wengineo ambao wamecheza video ya ZOBA ya msanii Banana Zoro,Wahapa Hapa Volume 1, huenda ilikuwa ni programe ya muda mfupi ya TACAIDS.
Wajuzi zaidi watatujuza.