IFM ni Chuo ambacho Ukitaka kushindana na Watu kimavazi au Mapenzi lazma utalia...cha msingi Unatakiwa ujijengee Schedule yako mwenyewe...hapo Maisha utayaweza
Masomo wala hakuna tatizo
ila ajira kama Hujuani na Wenye jiji na Nchi utasota...ila kama ni Dem mzuri ajira ni nje nje...