DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 302
Nilikuwa mahali, kwa bahati mbaya kuna wanafunzi wa IFM walikuwa wanaongea nikawa nawasikia. Inaonekana wapo kwenye mitihani kwa sasa. Lakini walikuwa wanaongea jinsi usimamizi wa mitihani ulivyokuwa wa kizembe hapo IFM.
Inaonekana wanafanyia mtihani kwenye vyumba vyenye computer, hao wasimazi kwa vile hawapo serious na kazi yao, wanafunzi wanaweka notes zao zote kwenye hizo computer na wanawasha hizo computer wakati wa mtihani na kucopy majibu.
Sasa inawezekana hao walimu labda wameongwa na baadhi ya wanafunzi ili wafanye hivyo. Najiuliza mambo mawili, kwanza kwanini mtihani ufanyike kwenye chumba cha computer wakati mtihani sio wa computer, pili wakati hawa wanafunzi wanajiachia kuwasha hizo computer na kucopy majibu hao walimu wanakuwa wamekaa wapi!!.
Tafadhali IFM mrekebishe hili haraka na msituletee makanyaboya huku mitaani.
Inaonekana wanafanyia mtihani kwenye vyumba vyenye computer, hao wasimazi kwa vile hawapo serious na kazi yao, wanafunzi wanaweka notes zao zote kwenye hizo computer na wanawasha hizo computer wakati wa mtihani na kucopy majibu.
Sasa inawezekana hao walimu labda wameongwa na baadhi ya wanafunzi ili wafanye hivyo. Najiuliza mambo mawili, kwanza kwanini mtihani ufanyike kwenye chumba cha computer wakati mtihani sio wa computer, pili wakati hawa wanafunzi wanajiachia kuwasha hizo computer na kucopy majibu hao walimu wanakuwa wamekaa wapi!!.
Tafadhali IFM mrekebishe hili haraka na msituletee makanyaboya huku mitaani.