Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,321
- 17,811
Yeah, this is it.Hizo pesa ni za bwawa la Rufigi na SGR. Hawataki kusema ukweli sijui wanaogopa nini!
Yeah, this is it.Hizo pesa ni za bwawa la Rufigi na SGR. Hawataki kusema ukweli sijui wanaogopa nini!
Bora mbwa mwitu, sio yule fisi maji....Endeleeni kumsifia sifia mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo. Jamaa anakula mgao wa IPTL kila siku milioni 450 narudia kila siku. Gesi kauza. Mitanzania sisi sijui tukoje.
Hahahaaa.Jakaya ni mtu na nusu, ila alichotufanyia 2015 sio poa kabisa.
Kazi ya kuhamisha goal post!Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Kama mshahara ulikua unapanda kila mwaka bas tupe hesabu mzee aliongoza miaka 10 na unadai kila mwaka aliongeza msharaha so awali watu walilipwa bei Gan mfano walim mana now ni laki 3 mpaka 4 kwaio miaka kumi alikua anawaingezea bei Gan na awali walilipwa bei Gan?Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Mafuta ya taa mlipandisha ili msambaze umeme hayajashuka mmeondoa tarifu ziro wote walipe Bei kubwa hata wale wenye matumizi chini ya unit 75 kwa mwezi ili pia msambaze umeme.nimeishia kucheka tu hasara tuliyonayo Kama taifa tuna viongozi ambao Wana akili ya ujambazi tu. Anyang'anye Leo kesho akanyang'anye tena.Kama mshahara ulikua unapanda kila mwaka bas tupe hesabu mzee aliongoza miaka 10 na unadai kila mwaka aliongeza msharaha so awali watu walilipwa bei Gan mfano walim mana now ni laki 3 mpaka 4 kwaio miaka kumi alikua anawaingezea bei Gan na awali walilipwa bei Gan?
Pili nyuma maisha yalikua Rais kwa vijana wengi ambao wanalalamika sasaiv kua maisha magum kipind kile wengi walikua watoto wa Mama hawana Majukum maisha kwao ilikua kula miogo ya chuo na kuona Mambo fresh now days Wana watu wanawategemea
Kama mwendazake mazuri mengi lakini alikuwa muuwajiUnaweza ukawa dhaifu na vile vile ukawa na mazuri mengi tu.
Hakuna kiongoz wa ccm mwenye umri wa kikwete ambaye haja kulia kwenye shida hukimtoa Lowasa wote njaaa tu ndiyo maana kila kukicha kutembea Kwa watu tu, siku zote ukiwa na njaa kwenye familia yako halaf Una ndugu wenye uwezo kaa ukijua kila siku watoto wako watakuwa wanaenda Kwa ndugu zako kwenda kusalimia.Jakaya anayo roho ya utu na hakukulia kwenye shida.
Umeandika ushuzi mtupuHuyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Uzi ufungweInasemekana alikuwa anafisilisi mifuko ya pensheni za jamii kwa kuchukua pesa za mifuko bila kuzirudisha na ndio maana ina hali ni mbaya kiuchumi ndio maana wastaafu wanachelewa kulipwa
Acha kukariri mburula wewe.Lakini Katibu wetu Mkuu Kamanda Mnyika aliweka bayana JK alikuwa Rais dhaifu.Au ndiyo tuseme tumebadili gia angani tena?
Salute kwa JK hata JPM pia lilikiwa jembeJakaya ni mtu na nusu, ila alichotufanyia 2015 sio poa kabisa.
Labda jembe lilokosa mpiniSalute kwa JK hata JPM pia lilikiwa jembe
He is like "watanzania hayaaaa bomu hilo hangaikeni nalo"Hahahaaa.
Baada ya kutufanyizia, sijui alikuwa anasema nini hapa kwenye korido hadi Mwendazake wa Lupaso akawa anachekaView attachment 1870914
Kwani zingejengwa leo kungekuwa na haja ya kutoza kodi?Kodi ya miamala imewekwa mahsusi kwa ajili ya kujenga barabara vijijini.
Cha kujiuliza wakati wa Mkapa na JK barabara hizo zilikuwa hazijengwi? Hizi ni fursa za upigaji naona.
Ni kweli lilikuwa Bomu maana si kuvuruga mambo kiasi kileHe is like "watanzania hayaaaa bomu hilo hangaikeni nalo"
Tukahangaika kweli