Ifanye simu yako kuwa private daima


S
 
Usidhani uvivu wako wa kutokujua ukadhani na wengine hawajui kwa kutokujua kwako ukatuona na wote hatujui,,,nasema na narudia kaeni familia nzima,ipigen hyo simu lock mnazotaka,muifunge haswa haswa then dk 15 nakukabidhi simu yako ikiwa mukideee... USIHALALISHE KUTOKUJUA KWAKO KWAMBA NA WOTE HAWAJUI,UKIJUA KUSHOTO NASI TUNAJUA KWA UPANDE MWINGINE...
 
Kwa maelezo mengine hakuna polisi kama hakuna mhalifu na viceversa is true!
 
Kwa maelezo mengine hakuna polisi kama hakuna mhalifu na viceversa is true!
Kuna watu wao wanahisi kubishana ndio njia sahihi kwao, Yani mtu na akili zake anaikingia kifua Android kwenye sekta ya ulinzi., angalau angesema blackberry
 
Haya! Ila hakika itashindikana
wacha ujinga wewe....
kwanza software yenyewe inaitwa MTK ENG. MODE hii naona inatumika kwa simu zinazotumia processor za MEDIATEK tu sio kwa Snapdragon wala Kirin... pia ni kwa Android tu, wakati mimi natumia Windows Phone na iOs, na hayo maMTK huwa nayafanyia modification mpaka naona kinyaa kulimiliki. Ndo maana mpaka sasa nikimuona mtu anatumia simu linalotumia Mtk naona anazingua tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…