Kwa mujibu wa Allah ata binadamu awe mwizi , mbakaji , mtenda zambi za kila aina , yeye atakuingiza kwenye bikra 72 na ata uwe mwema na unamfuata yeye atakupeleka motoni na amesema hata jaliUjinga mzigo sana,Yusuf Ali hana tafsiri ya Qur'aan bali Yusuf Ali ana tarjama ya Qur'aan.
Kuna aina mbili tu za tafsiri :
1. Tafsiri kwa sanadi kwa maada ya kurejea asili ya tafsiri Qur'aan kwa Qur'aan au kwa Hadithi.
2. Kuna Tafsiri ya Qur'aan kwa Rai.
Bora hata kidogo ungesema una Tafsiri ya Qur'aan ya Ibn Kathiir iliyotarujumiwa kwa Kiingereza hapo sawa au Tafsiir al Qurtubiy,wewe unaweza kusema hata zile tarjama za kiswahili za Qur'aan kama ile ya Sheikh Abdullah Saleh al Farsy nayo ni tafsiri au ile tarjama ya Sheikh Ali Muhsin al Bar'waan.
Ndio maana hata zile unazoziita "Contradictions" katika Qur'aan ulizo zicopy kutoka mtandaoni ukiulizwa maswali kuhus usemazo "Contradictions" huwa hujibu sababu hukuzisoma kiundani zaidi ya ku copy na ku paste ndio maana nyote mnaonekana vituko na waongo wakubwa wazushi.
Hata hiyo tarjama ya Yusuf Ali utakuwa unajau jina tu ila nakala sidhani kama unayo,na hii ni dhana ghalibu kutokana na kukimbia kwako maswali juu ya mjadala wa "Contradictios" katika Qur'aan.
Acha usanii,Qur'aan huijui na hujawahi kuijua. Huu ndio ukweli,na huwezi kuijadili Qur'aan zaidi ya ku copy na ku paste mbl ya uzushi dhidi ya Qur'aan na kutokomea.
Qur'aan kuijua unatakiwa uache kazi ufanye kazi.
Aya za mwanzo katika sura gani ? Inaonekana hata maana ya aya hujui wala sura,mwenye kuijua Qur'aan hawezi kusema "...katika aya za mwanzni tu....." hii kauli anaisema mjinga wa Qur'aan asie ijua kama wewe. Mwenye kuijua Qur'aan husema hivi "Aya za mwanzo katika sura fulani au aya za mwisho katika sura fulani"