Ifahamu asili ya jina Chuo kikuu cha Stephano Moshi

Miiku

JF-Expert Member
Oct 8, 2014
3,835
2,630
BABA ASKOFU DR. STEFANO REUBEN MOSHI

Ndiye Askofu Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania (1963 -1976).

Ndiye Mwanzilishi wa Hospitali Ya Rufaa KCMC alikuwa na maono makubwa juu ya KCMC.

Chuo Kikuu cha Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCO),hapo awali kilijulikana kwa jina la masoka kilichopo Moshi Kimeitwa Kwa Kumbukumbu ya jina Lake.

Shule ya Sekondari "Bishop Moshi" Iliyopo Mamba-Kotela Imeitwa Kwa Kumbukumbu Ya Jina Lake.

Alikuwa Mtu Mashuhuri Sana, Mwenye Msimamo Na Mwenye Kuheshimiwa Sana Na Kila Mtu.

Marangu, Wilaya Ya Moshi Vijijini.
Alizaliwa Huko Mamba-Kotela Mwaka 1906, Akafariki Mwaka 1976 Na Kuzikwa Huko Kijijini Kwake Mamba-Kotela katika kanisa la kirutheli usharika wa mamba kotela, Mashariki mwa
FB_IMG_1585319722644.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rest In Peace Baba Askofu Stephano Moshi. Wakati unalead KKKT nilikuwa kinda Ila tulimfahamu Mungu na kumhofu kupitia wewe. Enzi yako Kanisa lilikuwa na Umoja na Upendo. Hofu ya Mungu iliongoza Waumini na Viongozi wao. Pia alikuwepo mwingine kule Kushoto akiitwa Sebstain Kolowa. Alikufa ghafla miaka ya 80. RIP mashujaa wa Imani.
 
Rest In Peace Baba Askofu Stephano Moshi. Wakati unalead KKKT nilikuwa kinda Ila tulimfahamu Mungu na kumhofu kupitia wewe. Enzi yako Kanisa lilikuwa na Umoja na Upendo. Hofu ya Mungu iliongoza Waumini na Viongozi wao. Pia alikuwepo mwingine kule Kushoto akiitwa Sebstain Kolowa. Alikufa ghafla miaka ya 80. RIP mashujaa wa Imani.
Inanambo kumbe wewe ni mkongwe!! Nimelipenda hilo jina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BABA ASKOFU DR. STEFANO REUBEN MOSHI

Ndiye Askofu Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania (1963 -1976).

Ndiye Mwanzilishi wa Hospitali Ya Rufaa KCMC alikuwa na maono makubwa juu ya KCMC.

Chuo Kikuu cha Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCO),hapo awali kilijulikana kwa jina la masoka kilichopo Moshi Kimeitwa Kwa Kumbukumbu ya jina Lake.

Shule ya Sekondari "Bishop Moshi" Iliyopo Mamba-Kotela Imeitwa Kwa Kumbukumbu Ya Jina Lake.

Alikuwa Mtu Mashuhuri Sana, Mwenye Msimamo Na Mwenye Kuheshimiwa Sana Na Kila Mtu.

Marangu, Wilaya Ya Moshi Vijijini.
Alizaliwa Huko Mamba-Kotela Mwaka 1906, Akafariki Mwaka 1976 Na Kuzikwa Huko Kijijini Kwake Mamba-Kotela katika kanisa la kirutheli usharika wa mamba kotela, Mashariki mwa View attachment 1401012

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakazaliwa wengine Mch ELIONA KIMARO na Mch MAFTAI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rest In Peace Baba Askofu Stephano Moshi. Wakati unalead KKKT nilikuwa kinda Ila tulimfahamu Mungu na kumhofu kupitia wewe. Enzi yako Kanisa lilikuwa na Umoja na Upendo. Hofu ya Mungu iliongoza Waumini na Viongozi wao. Pia alikuwepo mwingine kule Kushoto akiitwa Sebstain Kolowa. Alikufa ghafla miaka ya 80. RIP mashujaa wa Imani.
Kumbe na Sebastian Kolowa naye alikuwa Askofu na ndo maana Kuna Chuo Kikuu pale Tanga kinaitwa SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY. Basi nahisi hata kile Cha Bukoba JOSIAH KIBIRO alikuwa pia Askofu au?
 
Kumbe na Sebastian Kolowa naye alikuwa Askofu na ndo maana Kuna Chuo Kikuu pale Tanga kinaitwa SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY. Basi nahisi hata kile Cha Bukoba JOSIAH KIBIRO alikuwa pia Askofu au?
Naam naye alikuwa Askofu wa KKKT huko Kanda ya Ziwa Magharibi. Maaskofu waliotukuka Enzi hizo. Hata ukienda Kwa Kairuki Hospitali kuna Ward inamuenzi Baba Askofu Josia Kibira.
 
Back
Top Bottom