Ifahamu Al Ahly watakaomenyana naSsimba SC

Hao Al Ahl sio mara ya kwanza Simba kucheza nao walisha cheza na Simba mara kadhaa hata mara ya mwisho walicheza na Yanga na kuifunga Yanga kwa tabu pia kumbuka kipigo alichopata Simba jana dhidi ya As Vital kitawafanya Simba kujiuliza na kuongeza umakini
Pia kumbuka wanaocheza ni wachezaji sio hela, kwani kikosi cha Simba katika league kuu Tz Bara mbona kinakua challenged na timu zenye usajili wa bei nafuu mpira haupo hivyo
Nakushauri ukae chini uandike tena uchambuzi wako upya kwani hili andiko ni takataka katupe kwenye dustbin

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachezaji wenyewe wale mbutembute wahenga wale akina Wawa.Toka lini paschal akacheza soka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Al-ahly watatulia tu panapo majaaliwa. Si umeona wametoa sare na JS saura iliyopigwa 3 na simba.

Kukata tamaa ni mwiko.
Kila la kheri simba mnyama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira haupo hivyo, mbona hao As Vital wamefungwa na Al ahly magoli mawili lakini hao hao As Vital Simba wamekula kiganja? Hao Js Saoura huenda ikawa ni timu nzuri tu ila simba imeweza kupata matokeo mazuri Taifa kutokana na hali ya hewa ya hapa kwetu. Usishangae kuona Simba akapigwa tena mengi wakirudiana nao Algeria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira haupo hivyo, mbona hao As Vital wamefungwa na Al ahly magoli mawili lakini hao hao As Vital Simba wamekula kiganja? Hao Js Saoura huenda ikawa ni timu nzuri tu ila simba imeweza kupata matokeo mazuri Taifa kutokana na hali ya hewa ya hapa kwetu. Usishangae kuona Simba akapigwa tena mengi wakirudiana nao Algeria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima simba apate bakora nyingine . Algeria kuna baridi inawafeva Saoura sio kama Daressalaam joto kali sana
 
Back
Top Bottom