retweeted
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,339
- 918
Wachezaji wenyewe wale mbutembute wahenga wale akina Wawa.Toka lini paschal akacheza soka?Hao Al Ahl sio mara ya kwanza Simba kucheza nao walisha cheza na Simba mara kadhaa hata mara ya mwisho walicheza na Yanga na kuifunga Yanga kwa tabu pia kumbuka kipigo alichopata Simba jana dhidi ya As Vital kitawafanya Simba kujiuliza na kuongeza umakini
Pia kumbuka wanaocheza ni wachezaji sio hela, kwani kikosi cha Simba katika league kuu Tz Bara mbona kinakua challenged na timu zenye usajili wa bei nafuu mpira haupo hivyo
Nakushauri ukae chini uandike tena uchambuzi wako upya kwani hili andiko ni takataka katupe kwenye dustbin
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika sasa Ahly ndugu zetu, Nasubiri kuhesabu pass Kwa Mchina.Kila laheri al ahly, tuko pamoja nawe!
Fisi limehangaishwa jana dah!Mafisi FC wakibanwa lawama zote Yanga Je kwa sababu kocha msaidizi wa vita Raul Shungu aliwahi kuinoa Yanga na mara zote kuitwanga Simba ndiyo iwe nongwa? Basi bora Fisi Fc wakate rufaa Kamati ya masaa 72 ya CAF na wakishindwa waende FIFA!
Sent using Jamii Forums mobile app
Al-ahly watatulia tu panapo majaaliwa. Si umeona wametoa sare na JS saura iliyopigwa 3 na simba.
Kukata tamaa ni mwiko.
Kila la kheri simba mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Raul shungu bado yupo?Mafisi FC wakibanwa lawama zote Yanga Je kwa sababu kocha msaidizi wa vita Raul Shungu aliwahi kuinoa Yanga na mara zote kuitwanga Simba ndiyo iwe nongwa? Basi bora Fisi Fc wakate rufaa Kamati ya masaa 72 ya CAF na wakishindwa waende FIFA!
Sent using Jamii Forums mobile app
Al-ahly watatulia tu panapo majaaliwa. Si umeona wametoa sare na JS saura iliyopigwa 3 na simba.
Kukata tamaa ni mwiko.
Kila la kheri simba mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira haupo hivyo, mbona hao As Vital wamefungwa na Al ahly magoli mawili lakini hao hao As Vital Simba wamekula kiganja? Hao Js Saoura huenda ikawa ni timu nzuri tu ila simba imeweza kupata matokeo mazuri Taifa kutokana na hali ya hewa ya hapa kwetu. Usishangae kuona Simba akapigwa tena mengi wakirudiana nao Algeria.Al-ahly watatulia tu panapo majaaliwa. Si umeona wametoa sare na JS saura iliyopigwa 3 na simba.
Kukata tamaa ni mwiko.
Kila la kheri simba mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima simba apate bakora nyingine . Algeria kuna baridi inawafeva Saoura sio kama Daressalaam joto kali sanaMpira haupo hivyo, mbona hao As Vital wamefungwa na Al ahly magoli mawili lakini hao hao As Vital Simba wamekula kiganja? Hao Js Saoura huenda ikawa ni timu nzuri tu ila simba imeweza kupata matokeo mazuri Taifa kutokana na hali ya hewa ya hapa kwetu. Usishangae kuona Simba akapigwa tena mengi wakirudiana nao Algeria.
Sent using Jamii Forums mobile app