If your Boyfriend is Cheating on You..

If your Boyfriend is Cheating on You..

hahahahahahahahahahahahahahahaaaa that will not stop the cheating but will reduce to some rate
 
Sister, If your boyfriend is cheating on you, cry no more.

Steal his phone oneday, copy the other girl's number, call her and act like you're his sister.

Then thank her for encouraging him to take his HIV drugs regularly...

Wisdom will not kill Banky oneday...
Cc: moneytalk
 
Sister, If your boyfriend is cheating on you, cry no more.

Steal his phone oneday, copy the other girl's number, call her and act like you're his sister.

Then thank her for encouraging him to take his HIV drugs regularly...

Wisdom will not kill Banky oneday...
Mara paaaap, anakushukuru na kukwambia usijali. "Nitakuwa namkumbusha tuwe tunatumia wote, maana hata na mimi ni muathirika"

Hapo ndio utafahamu maana ya MBOMBO NGAFU
 
Mara paaaap, anakushukuru na kukwambia usijali. "Nitakuwa namkumbusha tuwe tunatumia wote, maana hata na mimi ni muathirika"

Hapo ndio utafahamu maana ya MBOMBO NGAFU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Dada yangu mmoja alikuwa anamdai kaka mmoja kila siku anampiga Chenga akimpigia simu hapokei.
Siku moja Dada akapiga yule kaka kampa simu yake Mke wake ili aongee na Dada umwambie mwenye simu hayupo.
Mke kupokea tu Dada akaamua kumkomesha.
Dada: hello we nan? Mbona unapokea simu isokuwa yako.
Mke wa jamaa: una shida gani mwenye simu katoka.
Dada: akija mwambie Niko hospital leo mtoto tumboni kasumbua sana, na siku za kujifungua zinakaribia.
Mke wa jamaa:aliporomosha matusi 1500
Dada: kakata simu

Baadae sasa Mke kafunga mizigo yake hadi kwao, wachungaji wakaitwa, mme kakana hana mahusiano na Dada na kweli hakuwa na mahusiano nae.

Msimamizi wa ndoa katumwa kwa dada kupeleleza kama kweli ana mimba , Dada kamjibu mwambie alete hela yangu. Hii njia itanisaidia lazama alipe.kweli baada ya week akalipa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mpe hongera Sana
 
Back
Top Bottom