If your Boyfriend is Cheating on You..

If your Boyfriend is Cheating on You..

Bora hata wale wa vijijini ndani ambao hawajui mambo ya cheating fresh no pressure hajui chochote kuhusu mishe zangu wala nini yeye nikupa heshima yangu na kutimiza majuku yake vizuri wanaume wenzangu amieni wa vijijini hamutajutia hawa wa mjini kula na kusepa basi
 
Kuna Dada yangu mmoja alikuwa anamdai kaka mmoja kila siku anampiga Chenga akimpigia simu hapokei.
Siku moja Dada akapiga yule kaka kampa simu yake Mke wake ili aongee na Dada umwambie mwenye simu hayupo.
Mke kupokea tu Dada akaamua kumkomesha.
Dada: hello we nan? Mbona unapokea simu isokuwa yako.
Mke wa jamaa: una shida gani mwenye simu katoka.
Dada: akija mwambie Niko hospital leo mtoto tumboni kasumbua sana, na siku za kujifungua zinakaribia.
Mke wa jamaa:aliporomosha matusi 1500
Dada: kakata simu

Baadae sasa Mke kafunga mizigo yake hadi kwao, wachungaji wakaitwa, mme kakana hana mahusiano na Dada na kweli hakuwa na mahusiano nae.

Msimamizi wa ndoa katumwa kwa dada kupeleleza kama kweli ana mimba , Dada kamjibu mwambie alete hela yangu. Hii njia itanisaidia lazama alipe.kweli baada ya week akalipa😁😁😁😁😁😁😁
 
Kuna Dada yangu mmoja alikuwa anamdai kaka mmoja kila siku anampiga Chenga akimpigia simu hapokei.
Siku moja Dada akapiga yule kaka kampa simu yake Mke wake ili aongee na Dada umwambie mwenye simu hayupo.
Mke kupokea tu Dada akaamua kumkomesha.
Dada: hello we nan? Mbona unapokea simu isokuwa yako.
Mke wa jamaa: una shida gani mwenye simu katoka.
Dada: akija mwambie Niko hospital leo mtoto tumboni kasumbua sana, na siku za kujifungua zinakaribia.
Mke wa jamaa:aliporomosha matusi 1500
Dada: kakata simu

Baadae sasa Mke kafunga mizigo yake hadi kwao, wachungaji wakaitwa, mme kakana hana mahusiano na Dada na kweli hakuwa na mahusiano nae.

Msimamizi wa ndoa katumwa kwa dada kupeleleza kama kweli ana mimba , Dada kamjibu mwambie alete hela yangu. Hii njia itanisaidia lazama alipe.kweli baada ya week akalipa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukisalitiwa usipanic, kabiliana nalo taratibu na kwa weledi utalikomesha fasta...

Eti kujifanya unaumia unajiua bure na stress.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wamesikia wanaofuga wasalit
 
Sister, If your boyfriend is cheating on you, cry no more.

Steal his phone oneday, copy the other girl's number, call her and act like you're his sister.

Then thank her for encouraging him to take his HIV drugs regularly...

Wisdom will not kill Banky oneday...

Hizi mada zinakufaa sana....
Siasa ikaushie dingi...
 
Kabisaa kabisaa ndio zangu kwa wanawake wanaozan nawaibia waume zaoo shwenzi
 
Back
Top Bottom