<br />QUOTE=bebii;2446412]mimi interview ya kwanza kama mtu anataka siriaz relationship na mimi nikae na simu yake siku tatu net usiku na mchana
NI kweli MJ1Hii issue yote inazunguka katika suala la TRUST. Unapojizuia kugusa simu ya mpenz wako kwa kisingizio cha kuogopa kuumia ina maana huna trust kwa mwenzio na kama hajakupatia sababu za kumshuku, utakuwa humtendei haki.
Ukiamua kutokuigusa usiiguse kwa sababu UNAMUAMINI na si kwa kuwa unaogopa kuumizwa.
Kama hujapewa sababu ya kushuku, jiamini na umwamini maisha ni mafupi jamani try to enjoy every minute of it badala ya kuumiza vichwa
Haleluya!NI kweli MJ1<br />
<br />
nyongeza tu ni kwamba, waweza kusoma kitu kisicho na maana mbaya lakini kutokana na negativity, basi conclusion yako huamia huko kubaya<br />
<br />
But we also need to respect ile privacy ya kila binadamu... a mobile phone or email should not be a focus of any couple whether kuna trust au la<br />
<br />
Kuna wimbo ulisema<br />
bwana kama wewe, ungehesabu maovu yetu<br />
nani angesimama, nani angesimama
kwahiyo hata kama ikitokea nimegundua kuwa ananisaliti kwa kupitia simu yake ninyamaze tu kama nimemezeshwa mapande ya barafu eeee. Mi sikubali lazima patachimbika tu.
nyumba kubwa na nyani ngabu mmesema maneno ya msingi sana thanks ukiona mtu anafanya hayo ana agenda zisizo rasmi period tusilete maneno ya kujustfy uovu wetu maana mwisho wa siku haulipi.
<br />
<br />
chauro, hivi mmeo/best akishika simu yako inamaana anasoma msg na kupokea incoming calls???
If yes, kumbe hata anayeng'ang'ania kushika simu ya mwenzake ni kama anamwambia mwenzake "nataka kukuchunguza kama unavimeo...lete simu yako nipokee calls na kusoma sms"
tujuze kidogo...
mimi interview ya kwanza kama mtu anataka siriaz relationship na mimi nikae na simu yake siku tatu net usiku na mchana
kwanini mtu uwe na pressure ya simu? simu iwe free simu inatolewa mlio mtu anaenda nayo hadi bafuni? kwanini atm card mnaziacha na mawalet yenye hadi dola? anayeficha simu ni muhuni wala halipingiki
laini ni inayotumikakama ataweka laini asiyoitumia sanasana????
i meant akiwa na simu nyingi akakupatia simu yenye laini ambayo ina mawasiliano yasiyoweza kukuletea mashaka? watchout bebiii!!!!!!laini ni inayotumika
laini tunayowasiliana nayoHow do u knöw kama ndo hiyo hiyö? Watch Why did i get married 2
Caro watu waaminifu sana humu, lakini pia wako wazi kueleza fikra zaoNimegundua mtu kibao humu siyo waaminifu, poleni sana. Mimi yangu nakupa mwaka mzima ukikuta hata aliyendika nakupenda hata kwa message kupotea basi itakuwa ya kubumba.
<br />Nimegundua mtu kibao humu siyo waaminifu, poleni sana. Mimi yangu nakupa mwaka mzima ukikuta hata aliyendika nakupenda hata kwa message kupotea basi itakuwa ya kubumba.