If you know , you know

Mla Bata

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
8,164
Reaction score
18,675


Rais mstaafu wa awamu ya nne kwenye picha akipanda Ndege ya Rais kuelekea Mjini Harare , Zimbabwe
kumuwakilisha Rais John pombe Magufuli kwenye sherehe za kuapishwa Rais mteule wa Taifa hilo.




Ama kwa hakika Ndege zinampendezea huyu Bwana.

Mungu aendelee kukulinda Mzee wetu.
 
Kila mja na nyota yake! Huyu ana mambo mengi yanayonifanya nimpende, lakini pia hata "mzee baba" pia ana swaga zake,, saivi yuko zake chatoo.. Anamwagilia kabichi!

Sent using Jamii Forums mobile app

Heheh mkuu
'mdomo ukome' usikuponze,

Anamwagilia nini????🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…