Kwani siku hizi Waziri (tobaijuka) ndo chombo cha malalamiko?, sabodo si akatoe malalamiko yake kwenye vyombo vingine huru: pccb, polisi, tume ya haki za binadamu, tume ya maadili ya watumishi wa umma, OWM, UWT, etc- kumng'ang'ania Tiba tu inatia uwalakini, analake jambo.