Kwa jinsi dunia ilivyo-handle coronavirus /Covid-19 pandemic, ni wazi kuwa huko mbele, ukija ugonjwa wa mlipuko ambao unaambukizwa kwa haraka na unaua watu wengi kwa muda mfupi, mwanadamu atatoweka kwenye uso wa dunia KAMA DUNIA NDIVYO ITAKUWA IMEJIANDAA KWA MILIPUKO KAMA ILIVYOFANYA MCHEZO KWENYE CORONA.
Si USA, si EUROPE, si ASIA , si SCIENCE; kama handling ya milipuko inayoua watu wengi itakuwa kama hii, basi huko mbele ukija deadly pandemic kama Buboni plague, basi wanadamu watatoweka
The Black Death: The Greatest Catastrophe Ever | History Today
Si USA, si EUROPE, si ASIA , si SCIENCE; kama handling ya milipuko inayoua watu wengi itakuwa kama hii, basi huko mbele ukija deadly pandemic kama Buboni plague, basi wanadamu watatoweka
The Black Death: The Greatest Catastrophe Ever | History Today