Kwa hiyo ni
Uingereza -BBC
Ujerumani- Marekani VOA
Iran-IRIB (Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran)
China-CIR (Redio China Kimataifa)
Japan
Ufaransa
Afrika Kusini
Saudia
Umoja wa Mataifa
Hakuna nyingine?
Ya Vatican vipi bado iko hai?
Misri, Russia, Pakistan bado nazo zina idhaa za Kiswahili?
Vipi Oman mpaka leo hawana Idhaa ya Kiswahili?