Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,442
Ngoja nitazipiga picha niziweke hapa
mkuu kuwa makini! Nimeona kova ame log in usije kuunganishwa na wauwaji wa kamanda Barlow!
Ngoja nitazipiga picha niziweke hapa
Kuna askari somebody mahimbo kadi zake zimeokotwa.. Anatemjua ani pm
Kuna askari somebody mahimbo kadi zake zimeokotwa.. Anatemjua ani pm
Kuna askari somebody mahimbo kadi zake zimeokotwa.. Anatemjua ani pm
kwani comrade umegundua nini katika maandishi yake hadi useme yamesadifu kazi yake?
Nipe mimi
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na polisi walivyo na hasira sasa hivi. Kwa nini unaokota vitu ukikuta barabarani, mama yako hakukukatazaga?
mimi ni askari so kuwa na amani zipeleke sehemu usika na zitapokelewa bila shida
Mkuu, huyo Mahimbo hana first name? au any initials?. kwenye hivyo vilivyookotwa. Unasema anaemjue askari somebody Mahimbo aku-pm!. Hivi unafikiri kuna Mahimbo wangapi katika jeshi la polisi?. Next time ukiokota chochote report kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe.Kuna askari somebody mahimbo kadi zake zimeokotwa.. Anatemjua ani pm
Du, ama kweli
polisi wamechokwa!! Ukiongeza na uporaji waliofanya Mtwara, napata
mpasuko wa roho!