nicholas john
Member
- Jun 13, 2012
- 27
- 0
Za saa hizi wana jf,naomba msaada wenu wa idea ya biashara ya kufanya ambayo haitahitaji usimamizi mkali kwani mimi ni mwanachuo nipo mwaka wa mwisho hapo ifm.Nina mtaji wa shilingi milioni moja ninaishi kigamboni dar.Nawatakia siku njema.